TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Ni hivi juzi tu nilipongeza chama cha siasa kinacho changiwa na makabwela kwa sababu huwa kina nguvu kuliko.Sasa leo asubuhi nimesikia kutakuwa na fundraising ya CDM pale AR tar23.03.2012.MM nitakwenda kuchangia la msingi nipewe muda ni saa ngapi na mahali gani.NA WENZANGU MNIUNGE MKONO.