Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 82
Mbona mke wa zamani wa mtoto wa Danduu kachoka sana, halafu kuna demu mmoja hapo juu ana manido kama karai raaah
Mmmm !!hivi tukisikia Sweden Sweden stockholm stockholm kumbe hali halisi ndio hiyo ? leo nimelewa kwa nini wavulana wa kibongo wakifika TZ wanawakimbiza wasichana warembo ,unapowauliza kina kaka kwani huko mnakoishi si ndio wapo warembo wazuri inakuwaje hii leo umekuja matembezi mnafukuzia vimwana kila unachokutana nacho na ukiwauliza kwani kina dada wa kibongo vipi huko mnakoishi wanakuwa hawana la kusema ,lakini kwa hali hii tunayoiona katika hizi sherehe tumewaelewa na kuwasikia vilio vyao wanapokuwapo hapa Bongo sijuwi wakiwa huko majuu hali inakuwaje .
Mimi nilidhani aliyeandika alikuwa anamaanisha party ya wazungu, nilivyowakosa wazungu nikadhani anamaanisha kinyume,..., kumbe...lol!Why do BLACK people so desperately want to be WHITE? I aint never seen a BLACK PARTY! It's always a WHITE PARTY! Arent we proud of our BLACK heritage? This is disgusting! Come to think, I KNOW some of these people! LOL! I call this GENERATION LOST!