Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wanawake wamefeli wapi hadi sie wanaume kwa wanaume tunaingiliana? Ni ushenzi tu.Hapa la kujiuliza ni hili, "Wanaume tunafail wapi mpaka dada hawa wameamua kuhamia kwenye vijibwa, matango, na kusagana wao kwa wao?"
Wajinga wanasema agano la kale halipo tena mkuuWalawi 18:23 Wala usilale na mnyama ye yote, ili kujitia unajisi kwake; wala mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kulala naye; ni uchafuko.
ila sasa wanaona ni fashion mara vijimbwa mara vile vibomba vya bafuni mara matunda
yan tunako enda ata shetan nae atakuja kutukataa
Wanalambwa kinacholambwa...Kuna wale wa jinsia yetu nao huwa wanatembea navyo hivyo vimbwa nawaza hapa sijui nao huwa wanalambwa nini?
Hippocratic Oath! Under no circumstance shall a Doctor divulge clients confidentiality unless required by the law under clients' consent.
Doctor amefeli sana.
Dr, nna wasiwasi na vyeti vyako.