Bulembo ndiye aliyekuwa meneja wa JPM ktk kampeni za kuwania urais 2015. Alizunguka nchi nzima kuwaaminisha watanzania kuwa huyu ndiye bora zaidi ya wagombea urais wengine.
Lkn mambo yamekuwa kinyume kabisa na matarajio ya wengi. Nani alaumiwe? Ni Abdallah Bulembo aliyetuongopea. Lkn yy alizawadiwa ubunge wa kuteuliwa.
Anastahili kushitakiwa kwa "kufanya utapeli wa uaminifu wa kisiasa kwa watanzania". Alitutapeli kisiasa, tukamwamini. .
Mtu aliye mnadi amelipelekea taifa kuingia ktk matatizo makubwa yafuatayo:-
*biashara zinakufa
*watu wanatekwa na kupotezwa hovyo
*watu wanashambuliwa kwa risasi mchana kweupe
*uhasama na chuki za kiitikadi vimepandikizwa na kuwa sehemu ya utamaduni wa mtanzania
* mazao ya mimea na mifugo yanakosa soko
*demokrasia na Uhuru wa kujieleza vyote vimebinywa.
*wavuvi wanaporwa zana zao na kupigwa kama wezi.
n.k
Kwa haya na mengine mengi nakusudia kumburuza Abdallah Bulembo mahakamani kwasabb mwenye kuyatenda ana kinga. Na kwa msaada wa wanasheria nitashinda.
Lkn mambo yamekuwa kinyume kabisa na matarajio ya wengi. Nani alaumiwe? Ni Abdallah Bulembo aliyetuongopea. Lkn yy alizawadiwa ubunge wa kuteuliwa.
Anastahili kushitakiwa kwa "kufanya utapeli wa uaminifu wa kisiasa kwa watanzania". Alitutapeli kisiasa, tukamwamini. .
Mtu aliye mnadi amelipelekea taifa kuingia ktk matatizo makubwa yafuatayo:-
*biashara zinakufa
*watu wanatekwa na kupotezwa hovyo
*watu wanashambuliwa kwa risasi mchana kweupe
*uhasama na chuki za kiitikadi vimepandikizwa na kuwa sehemu ya utamaduni wa mtanzania
* mazao ya mimea na mifugo yanakosa soko
*demokrasia na Uhuru wa kujieleza vyote vimebinywa.
*wavuvi wanaporwa zana zao na kupigwa kama wezi.
n.k
Kwa haya na mengine mengi nakusudia kumburuza Abdallah Bulembo mahakamani kwasabb mwenye kuyatenda ana kinga. Na kwa msaada wa wanasheria nitashinda.