Kwanza mpaka sasa ni gaidiNgoja upewe kasi ya ugaidi ukae kwa kutulia 😁😁🏃♀️
She is worthless, Watz wasahalifu sana washasahau leo wanaimba na kuabudu.Mhe. Samia alipokuwa VP ktk kipindi cha kampeni alitoa matamshi yanayobinya haki na demokrasia ya raia wa Tanzania. Aliwaambia wananchi kwamba "hata ukipiga kura kule kwingine ccm itaunda serikali".
Haya ni matamshi yanayoashiria kwamba Samia aliijua na alishiriki kupanga mipango ya uchafuzi wa uchaguzi mkuu 2020 ambayo baadaye ilikuja kutekelezeka kama kauli ya Samia ilivyosema. Ushahidi wa hili ni kuzagaa kwa kura bandia zilizosambazwa nchi nzima ktk mabegi meusi.
Hivyo anakusudia kufungua kesi dhidi yake kwa matamshi haya maana ktk kipindi hiki alikuwa hana kinga yoyote ya kikatiba..
Kesi hii nikishinda Samia anavuliwa urais (atakuwa disqualified) na atapelekea gerezani.
Hiyo kes utaenda mahakaman mpaka utachoka. Nakushauri upange chumba karibu na mahakama, ukichomoka kwako, unachomokea mahakaman kupunguza Nauli.....Mhe. Samia alipokuwa VP ktk kipindi cha kampeni alitoa matamshi yanayobinya haki na demokrasia ya raia wa Tanzania. Aliwaambia wananchi kwamba "hata ukipiga kura kule kwingine ccm itaunda serikali".
Haya ni matamshi yanayoashiria kwamba Samia aliijua na alishiriki kupanga mipango ya uchafuzi wa uchaguzi mkuu 2020 ambayo baadaye ilikuja kutekelezeka kama kauli ya Samia ilivyosema. Ushahidi wa hili ni kuzagaa kwa kura bandia zilizosambazwa nchi nzima ktk mabegi meusi.
Hivyo anakusudia kufungua kesi dhidi yake kwa matamshi haya maana ktk kipindi hiki alikuwa hana kinga yoyote ya kikatiba..
Kesi hii nikishinda Samia anavuliwa urais (atakuwa disqualified) na atapelekea gerezani.
Mhe. Samia alipokuwa VP ktk kipindi cha kampeni alitoa matamshi yanayobinya haki na demokrasia ya raia wa Tanzania. Aliwaambia wananchi kwamba "hata ukipiga kura kule kwingine ccm itaunda serikali".
Haya ni matamshi yanayoashiria kwamba Samia aliijua na alishiriki kupanga mipango ya uchafuzi wa uchaguzi mkuu 2020 ambayo baadaye ilikuja kutekelezeka kama kauli ya Samia ilivyosema. Ushahidi wa hili ni kuzagaa kwa kura bandia zilizosambazwa nchi nzima ktk mabegi meusi.
Hivyo anakusudia kufungua kesi dhidi yake kwa matamshi haya maana ktk kipindi hiki alikuwa hana kinga yoyote ya kikatiba..
Kesi hii nikishinda Samia anavuliwa urais (atakuwa disqualified) na atapelekea gerezani.
Safi sanaNa niliwahi andika hivi hapa JF siku za nyuma:
Ibara ya 46(3) ya katiba yetu haitoi kinga kwa Rais alieondoka madarakani kutoshitakiwa kwa makosa aliyofanya kabla hawajawa Rais
Katika katiba yetu ya mwaka 77,ibara ya 46(1),46(2) na 46(3),ndio zinazungumzia kinga ya Raisi kutoshitakiwa. Ibara ya 46(1) na 46(2), zinazungumzia kinga ya kutomshitaki Raisi alie madarakani ambapo ibara ya 46(3) inazungumzia kinga ya kutomshitaki mtu aliyekuwa anashika madaraka ya Raisi...www.jamiiforums.com