Nakusudia kufungua kesi dhidi ya mhe. Samia (alitenda kosa kabla hajawa rais)

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,405
Mhe. Samia alipokuwa VP ktk kipindi cha kampeni alitoa matamshi yanayobinya haki na demokrasia ya raia wa Tanzania. Aliwaambia wananchi kwamba "hata ukipiga kura kule kwingine ccm itaunda serikali".

Haya ni matamshi yanayoashiria kwamba Samia aliijua na alishiriki kupanga mipango ya uchafuzi wa uchaguzi mkuu 2020 ambayo baadaye ilikuja kutekelezeka kama kauli ya Samia ilivyosema. Ushahidi wa hili ni kuzagaa kwa kura bandia zilizosambazwa nchi nzima ktk mabegi meusi.

Hivyo anakusudia kufungua kesi dhidi yake kwa matamshi haya maana ktk kipindi hiki alikuwa hana kinga yoyote ya kikatiba..

Kesi hii nikishinda Samia anavuliwa urais (atakuwa disqualified) na atapelekea gerezani.
 
Mhe. Samia alipokuwa VP ktk kipindi cha kampeni alitoa matamshi yanayobinya haki na demokrasia ya raia wa Tanzania. Aliwaambia wananchi kwamba "hata ukipiga kura kule kwingine ccm itaunda serikali".

Haya ni matamshi yanayoashiria kwamba Samia aliijua na alishiriki kupanga mipango ya uchafuzi wa uchaguzi mkuu 2020 ambayo baadaye ilikuja kutekelezeka kama kauli ya Samia ilivyosema. Ushahidi wa hili ni kuzagaa kwa kura bandia zilizosambazwa nchi nzima ktk mabegi meusi.

Hivyo anakusudia kufungua kesi dhidi yake kwa matamshi haya maana ktk kipindi hiki alikuwa hana konga yoyote..

Kesi hii nikishinda Samia anavuliwa urais (atakuwa disqualified) na atapelekea gerezani.
🤣🤣🤣"...HATA UKIPIGA KURA KWENGINE CCM ITAUNDA SERIKALI..." ni lazima iendane na tafsiri yako ?!!!

Tafsiri yangu ni tofauti nawe.....

Yangu inamaanisha kuwa CCM INA WANACHAMA NA WAPENZI WENGI KULIKO WANANCHI WACHACHE WANAOIPINGA....KWA hiyo kura zao zitakuwa ni chache za kutounda serikali.....

Halafu Rais hashtakiwi hata akistaafu.....🤣🤣
 
Mkuu unaota wewe.......me siipendi serikali ya wezi CCM lakin kusapot (utopolo ) vitu ambavyo haviwezekan hapana.
Mkaa bure siyo sawa na mtembea bure. Nitakutumia mahakama za Afrika mashariki na Afrika. Ikibidi nitaenda hata the Hague
 
Mhe. Samia alipokuwa VP ktk kipindi cha kampeni alitoa matamshi yanayobinya haki na demokrasia ya raia wa Tanzania. Aliwaambia wananchi kwamba "hata ukipiga kura kule kwingine ccm itaunda serikali".

Haya ni matamshi yanayoashiria kwamba Samia aliijua na alishiriki kupanga mipango ya uchafuzi wa uchaguzi mkuu 2020 ambayo baadaye ilikuja kutekelezeka kama kauli ya Samia ilivyosema. Ushahidi wa hili ni kuzagaa kwa kura bandia zilizosambazwa nchi nzima ktk mabegi meusi.

Hivyo anakusudia kufungua kesi dhidi yake kwa matamshi haya maana ktk kipindi hiki alikuwa hana konga yoyote..

Kesi hii nikishinda Samia anavuliwa urais (atakuwa disqualified) na atapelekea gerezani.
Bado unabreed miaka yote hiyo ndio maana akili zimekufa kabisa

USSR
 
Nadhani sheria inasema hatashtakiwa kwa makosa aliyoyafanya kabla ya kuwa Rais, akiwa Rais, na baada ya kuwa Rais, humpati tena.

Article 46 (1) & (2) of URT Constitution 1977.

Article 46 (1) - Hatashtakiwa kwa criminal charges akishakuwa president.

Article 46 (2)- Hatashtakiwa kwa civil proceedings unless complaint ifunguliwe 30 days before hajawa president.

Hiki kifungu kitakuondolea haki ya kufungua mashtaka kwa issue yako kuwa time barred.
 
Mhe. Samia alipokuwa VP ktk kipindi cha kampeni alitoa matamshi yanayobinya haki na demokrasia ya raia wa Tanzania. Aliwaambia wananchi kwamba "hata ukipiga kura kule kwingine ccm itaunda serikali".

Haya ni matamshi yanayoashiria kwamba Samia aliijua na alishiriki kupanga mipango ya uchafuzi wa uchaguzi mkuu 2020 ambayo baadaye ilikuja kutekelezeka kama kauli ya Samia ilivyosema. Ushahidi wa hili ni kuzagaa kwa kura bandia zilizosambazwa nchi nzima ktk mabegi meusi.

Hivyo anakusudia kufungua kesi dhidi yake kwa matamshi haya maana ktk kipindi hiki alikuwa hana konga yoyote..

Kesi hii nikishinda Samia anavuliwa urais (atakuwa disqualified) na atapelekea gerezani.
Endelea kuota nyumbuzzz
 
Back
Top Bottom