Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,111
Mwenye shida ni wewe unayemuona ni mtumishi , Wakati yeye anajiona ni msanii kama wasanii wengineHuyu jamaa ni msanii kama wasanii wengine ,sioni kosa lake
Ni msaka riziki kama wajanja wengine , Anajipendekeza kwenye Utawala huu , anaimba nyimbo za kusifu na si kukosoa
Kwahiyo acha ale bata
Mwenye shida ni wewe unayemuona ni mtumishi , Wakati yeye anajiona ni msanii kama wasanii wengine
Umemaliza
Sent using Jamii Forums mobile app