Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Yaani amefutika kwa haraka mno.Kuna watu mliamini jiwe ni mkubwa sana hatasahaulika
Yaani amefutika kwa haraka mno.Kuna watu mliamini jiwe ni mkubwa sana hatasahaulika
Familia yenyewe iko DSM wala hatujaona shamrashamra za arobaini🤣🤣🤣. Mama mwenyewe amenawiri saaana. Nao wako mapumzikoni aisee.Kwanini vipi? Marehemu Shujaa anataka kutoroka?
Kwa nini kaburi la Magufuli tu wakati kuna la Nyerere na Mkapa sijawahi kusikia wameenda? Mkapa toka wamzike hawajaendaRais Mstaafu, Jakaya Kikwete, nakushauri kuwa huu ni muda muafaka kwako kwa niaba ya Viongozi Wakuu Wastaafu kutembelea Wilayani Chato na kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Magufuli.
Ziara yako Wilayani Chato ni muhimu sana kwani itasaidia kuwafariji, kuwatia moyo, na kuwapa nguvu familia ya mwendazake hususani Mamake Mzazi, Mkewe Janeth Magufuli pamoja na Watoto
Natambua wapo Viongozi wengi wakuu wastaafu kama Mzee Ally Hassan Mwinyi ila kutokana na umri wake nimeona tumuache apumzike, lakini wewe pamoja na kustaafu lakini bado umesalia kuwa Mwanasiasa mwenye nguvu, ushawishi, unayeheshimika na unayekubalika pakubwa na Watanzania wengi.
Kwa heshima na taadhima kubwa naomba ufanye utaratibu wa kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Nikutakie sikukuu njema ya Eid Mubarak
Ushuzi tupuKwanini vipi? Marehemu Shujaa anataka kutoroka?
amefanikiwa jambo lake la kuwasimamia?Katika jana ni kiongozi wa malaika
Wamemuacha jiwe peke yakeMnaenda tambika maana Wenye Msiba wako Masaki
Ukistaajabu ya Musa...........Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, nakushauri kuwa huu ni muda muafaka kwako kwa niaba ya Viongozi Wakuu Wastaafu kutembelea Wilayani Chato na kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Magufuli.
Ziara yako Wilayani Chato ni muhimu sana kwani itasaidia kuwafariji, kuwatia moyo, na kuwapa nguvu familia ya mwendazake hususani Mamake Mzazi, Mkewe Janeth Magufuli pamoja na Watoto
Natambua wapo Viongozi wengi wakuu wastaafu kama Mzee Ally Hassan Mwinyi ila kutokana na umri wake nimeona tumuache apumzike, lakini wewe pamoja na kustaafu lakini bado umesalia kuwa Mwanasiasa mwenye nguvu, ushawishi, unayeheshimika na unayekubalika pakubwa na Watanzania wengi.
Kwa heshima na taadhima kubwa naomba ufanye utaratibu wa kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Nikutakie sikukuu njema ya Eid Mubarak
Nyie waabudu binadamu wenzenu mbona mnataka kupangia watu cha kufanya?Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, nakushauri kuwa huu ni muda muafaka kwako kwa niaba ya Viongozi Wakuu Wastaafu kutembelea Wilayani Chato na kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Magufuli.
Ziara yako Wilayani Chato ni muhimu sana kwani itasaidia kuwafariji, kuwatia moyo, na kuwapa nguvu familia ya mwendazake hususani Mamake Mzazi, Mkewe Janeth Magufuli pamoja na Watoto
Natambua wapo Viongozi wengi wakuu wastaafu kama Mzee Ally Hassan Mwinyi ila kutokana na umri wake nimeona tumuache apumzike, lakini wewe pamoja na kustaafu lakini bado umesalia kuwa Mwanasiasa mwenye nguvu, ushawishi, unayeheshimika na unayekubalika pakubwa na Watanzania wengi.
Kwa heshima na taadhima kubwa naomba ufanye utaratibu wa kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Nikutakie sikukuu njema ya Eid Mubarak
sukuma gang mnaakili za ajabu sasa hii ni nini umeandika. ?bado tu hamuamini kama jiwe likufa?Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, nakushauri kuwa huu ni muda muafaka kwako kwa niaba ya Viongozi Wakuu Wastaafu kutembelea Wilayani Chato na kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Magufuli.
Ziara yako Wilayani Chato ni muhimu sana kwani itasaidia kuwafariji, kuwatia moyo, na kuwapa nguvu familia ya mwendazake hususani Mamake Mzazi, Mkewe Janeth Magufuli pamoja na Watoto
Natambua wapo Viongozi wengi wakuu wastaafu kama Mzee Ally Hassan Mwinyi ila kutokana na umri wake nimeona tumuache apumzike, lakini wewe pamoja na kustaafu lakini bado umesalia kuwa Mwanasiasa mwenye nguvu, ushawishi, unayeheshimika na unayekubalika pakubwa na Watanzania wengi.
Kwa heshima na taadhima kubwa naomba ufanye utaratibu wa kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Nikutakie sikukuu njema ya Eid Mubarak
umepotelea wapi!Uwiii🤣🤣🤣had nimepaliwa jaman
Familia Iko Dar na mama yake marehemu Yuko kwenye Hali ya mahuti ataenda kumfariji nani au naww ni sukuma gangRais Mstaafu, Jakaya Kikwete, nakushauri kuwa huu ni muda muafaka kwako kwa niaba ya Viongozi Wakuu Wastaafu kutembelea Wilayani Chato na kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Magufuli.
Ziara yako Wilayani Chato ni muhimu sana kwani itasaidia kuwafariji, kuwatia moyo, na kuwapa nguvu familia ya mwendazake hususani Mamake Mzazi, Mkewe Janeth Magufuli pamoja na Watoto
Natambua wapo Viongozi wengi wakuu wastaafu kama Mzee Ally Hassan Mwinyi ila kutokana na umri wake nimeona tumuache apumzike, lakini wewe pamoja na kustaafu lakini bado umesalia kuwa Mwanasiasa mwenye nguvu, ushawishi, unayeheshimika na unayekubalika pakubwa na Watanzania wengi.
Kwa heshima na taadhima kubwa naomba ufanye utaratibu wa kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Nikutakie sikukuu njema ya Eid Mubarak
Kuna ulazima gani wa kutembelea hilo kaburi? Lina maajabu yeyote?Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, nakushauri kuwa huu ni muda muafaka kwako kwa niaba ya Viongozi Wakuu Wastaafu kutembelea Wilayani Chato na kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Magufuli.
Ziara yako Wilayani Chato ni muhimu sana kwani itasaidia kuwafariji, kuwatia moyo, na kuwapa nguvu familia ya mwendazake hususani Mamake Mzazi, Mkewe Janeth Magufuli pamoja na Watoto
Natambua wapo Viongozi wengi wakuu wastaafu kama Mzee Ally Hassan Mwinyi ila kutokana na umri wake nimeona tumuache apumzike, lakini wewe pamoja na kustaafu lakini bado umesalia kuwa Mwanasiasa mwenye nguvu, ushawishi, unayeheshimika na unayekubalika pakubwa na Watanzania wengi.
Kwa heshima na taadhima kubwa naomba ufanye utaratibu wa kuzuru kaburi la Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Nikutakie sikukuu njema ya Eid Mubarak