mtunzasiri
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 1,446
- 985
Ndugu zangu wapenda Mpira wanachama hai Hasa wa Yanga sina maneno mengi ya kuwachosha niko hapa kuomba tushirikiane lengo liwazi ninahitaji kuwapeleka mahakamani viongozi wote wa Yanga kwa kujimegea timu kama mali Yao binafsi iwapo kweli nikibaini makubaliano ya kujikodisha timu kwa miaka kumi kweli yamefikiwa.
1. Wamekubaliana bila kuhusisha wanachama nchi nzima kujikodisha time kihasara hasara bila kujali wamiliki halali wa nembo na timu kwa ujumla.
2. Nimesikia wakisema eti timu ina deni linalifikia bln 10 kama kweli limefikaje deni kubwa hivyo wakati wote tunajua manji alikuja kama mfadhiri na sio mkopeshaji kama sio ufisadi.
3. Iwapo kweli wanajikodisha timu wataingizaje faida iwapo ndani ya uongozi wao wameshindwa kuleta faida wala uwanja kujengwa hakuna ila wanatangaza madeni tuu.
4. Mwisho ikiwa uongozi ndio wakodishaji nani atasimamia mapato ya timu yetu ili kuhakikisha huo mgawo wanaoudai watautoa 25% kwa 75% ni kweli utapatikana kama sio watatutangazia hasara mara kumi zaidi ili waifirisi timu jumla? Humuoni hapo kuna maslahi binafsi halo.
Nb: mengine mnaweza kuongezea au kuboresha hoja hizi ili kujenga maendeleo ya mpira Tanzania tusifanye utapeli wa simbapoli kwa huruma ya kushiba (matokeo) kwa muda mfupi tutakuja kulia muda umekwenda.
1. Wamekubaliana bila kuhusisha wanachama nchi nzima kujikodisha time kihasara hasara bila kujali wamiliki halali wa nembo na timu kwa ujumla.
2. Nimesikia wakisema eti timu ina deni linalifikia bln 10 kama kweli limefikaje deni kubwa hivyo wakati wote tunajua manji alikuja kama mfadhiri na sio mkopeshaji kama sio ufisadi.
3. Iwapo kweli wanajikodisha timu wataingizaje faida iwapo ndani ya uongozi wao wameshindwa kuleta faida wala uwanja kujengwa hakuna ila wanatangaza madeni tuu.
4. Mwisho ikiwa uongozi ndio wakodishaji nani atasimamia mapato ya timu yetu ili kuhakikisha huo mgawo wanaoudai watautoa 25% kwa 75% ni kweli utapatikana kama sio watatutangazia hasara mara kumi zaidi ili waifirisi timu jumla? Humuoni hapo kuna maslahi binafsi halo.
Nb: mengine mnaweza kuongezea au kuboresha hoja hizi ili kujenga maendeleo ya mpira Tanzania tusifanye utapeli wa simbapoli kwa huruma ya kushiba (matokeo) kwa muda mfupi tutakuja kulia muda umekwenda.