kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
sina la kusema kaka...hongera kwa Nakuru all stars.Kadoda11 alinitishia upande ule wa Battle ya Nai vs Dar, sahi sijui atasema nini!! Mimi mwenyewe nilikuwa nikijua Simba itashinda!! Miaka mingi nimejua Simba na Yanga, sikutarajia Nakuru iwatoe kwenye ligi