blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,420
- 12,569
Kwa kuwafikisha mahakamani hao wezi leo.....
Nakupongeza sana Rais.
hiki ndicho tunachotaka na Ccm imeanza kuwa tofauti.
Hapa tunaanza kwenda pamoja.
Ukirejea na rasimu ya katiba ya WARIOBA...ukaipitisha .
Hakika 2020 USIANGAIKE KUPIGA KAMPENI...
Ahsante.
Nakupongeza sana Rais.
hiki ndicho tunachotaka na Ccm imeanza kuwa tofauti.
Hapa tunaanza kwenda pamoja.
Ukirejea na rasimu ya katiba ya WARIOBA...ukaipitisha .
Hakika 2020 USIANGAIKE KUPIGA KAMPENI...
Ahsante.