dexterous
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,038
- 3,124
@ My new home 3 bedrooms apartment at downtown bongo Jamhuri Street, nilipoanza kuikarabati miezi sita iliyopita na leo baada ya kuhamia I just want to thank my God kwamba 3 years za ku hustle bongo baada ya Miaka 30 majuu now I have my own home!!- IT IS NOT A BRAGGING RIGHT BUT UJUMBE KWA WENGINE KWAMBA KURUDI BONGO KUTOKA MAJUU SIO A DEATH SENTENCE KAMA WENGI WANAVYOAMINI NA HATA MIMI AT ONE TIME NILIKUWA NAAMINI HIVYO MUNGU NI MKUBWA UKIMUAMINI KWA KILA JAMBO!! - Le Mutuz