Nakupongeza kwa hili Le Mutuz u know, Sio kila siku kutupia picha na le Bebez 2

dexterous

JF-Expert Member
Feb 26, 2014
2,038
3,124
@ My new home 3 bedrooms apartment at downtown bongo Jamhuri Street, nilipoanza kuikarabati miezi sita iliyopita na leo baada ya kuhamia I just want to thank my God kwamba 3 years za ku hustle bongo baada ya Miaka 30 majuu now I have my own home!!- IT IS NOT A BRAGGING RIGHT BUT UJUMBE KWA WENGINE KWAMBA KURUDI BONGO KUTOKA MAJUU SIO A DEATH SENTENCE KAMA WENGI WANAVYOAMINI NA HATA MIMI AT ONE TIME NILIKUWA NAAMINI HIVYO MUNGU NI MKUBWA UKIMUAMINI KWA KILA JAMBO!! - Le Mutuz
 
Kajitaid sana mutuz


LeMutuzyu knowmabebz yu knowmaapartment yuknowNow iHaveaNaPartMent yuKnowww nyingiii. LemUtuzkaFaNikIwa kUtOkaNanqKiki yaBackGrouNd yaFamIlia. WeNgineMliopoMBelE jIdaNgaNyeni kUrudi boNgo Halafu muone.

#LiFe a'int easy here in bOngO yu knowWwW.
 
hajaweka picha ya nje tuone...tumpongeze au tumshushue ..anaweza akawa ahat amepanga huyo mr misifa.
Alafu bro HV siku zote hizo ulikuwa bado hauna hata ka kibanda !!!!?
its too late to brag.... mwenzio tuna 30s tayari tuna vibanda na mausafiri wewe Leo unakuja kututangazia vibanda vya urisi hapa.
 
hajaweka picha ya nje tuone...tumpongeze au tumshushue ..anaweza akawa ahat amepanga huyo mr misifa.
Alafu bro HV siku zote hizo ulikuwa bado hauna hata ka kibanda !!!!?
its too late to brag.... mwenzio tuna 30s tayari tuna vibanda na mausafiri wewe Leo unakuja kututangazia vibanda vya urisi hapa.

Chuki zinauwa, si wote wanaopanga au kununuwa appartment kwamba hawana nyumba ila kukaa town kwa mtu ambaye unazungusha dili zako down town ni advantage kubwa sana.

Hapa nampa hongera zake Le baharia hasa ukichukulia amehama kwa baba upanga sea view licha ya kwamba nyumba iko tupu haina mkaaji.
 
LeMutuzyu knowmabebz yu knowmaapartment yuknowNow iHaveaNaPartMent yuKnowww nyingiii. LemUtuzkaFaNikIwa kUtOkaNanqKiki yaBackGrouNd yaFamIlia. WeNgineMliopoMBelE jIdaNgaNyeni kUrudi boNgo Halafu muone.

#LiFe a'int easy here in bOngO yu knowWwW.

Kucopy copy kubaya asee! Kwa hiyo ukaona Pdidy anafaidi sana?
 
Last edited by a moderator:
hii inaitwa kataa tamaa au subiri ushindi uzeeni....huu ndo ujumbe vijana watajifunza kwa le mutuz!30 years mamtoni,miaka mitatu ya hustling bongo na ukarabati wa nyumba ya msajili umechukua miezi sita!duh!...ingekuwa ukubwa wa umbo ndo kumiliki mijengo mingi le mutuz angekuwa ana magorofa 30
 
[h=2]Nakupongeza kwa hili Le Mutuz u know, Sio kila siku kutupia picha na le Bebez 2[/h]
@ My new home 3 bedrooms apartment at downtown bongo Jamhuri Street, nilipoanza kuikarabati miezi sita iliyopita na leo baada ya kuhamia I just want to thank my God kwamba 3 years za ku hustle bongo baada ya Miaka 30 majuu now I have my own home!!- IT IS NOT A BRAGGING RIGHT BUT UJUMBE KWA WENGINE KWAMBA KURUDI BONGO KUTOKA MAJUU SIO A DEATH SENTENCE KAMA WENGI WANAVYOAMINI NA HATA MIMI AT ONE TIME NILIKUWA NAAMINI HIVYO MUNGU NI MKUBWA UKIMUAMINI KWA KILA JAMBO!! - Le Mutuz

- Now kumbe hujaelewa somo picha ninapiga na fans wake kwa waume na siku zote mimi big Celebrity wananchi wananiomba picha kila ninapokwenda sio kama wewe cause sio Big Star sasa unalia lia na picha, mimi nina muda wa kila kitu na wakati wake nina muda wa kupiga picha na fans na nina muda wa kutafutaa pesa, sijawahi kuchanganya hayo mambo ni watu kama wewe ndio mnajichanganya na my life style mimi mwenyewe nipo calm na under control.

- Anyways thanks, lakini may be utajifunza something kuhusu me and mylife style kwamba unavyonifikiria wala sio kabisa mimi nipo kwenye my program na right on track, soon nitakuwa kwenye Radio na TV that is my next project, kama ni nyumba ninayo Kinyerezi tena na shamba la eka 5 lakini sikutaka kukaa kule ni mbali na biashara zangu hapa mjini so relax man hunijui ila niamini pole pole utanielewa tu!!

Le Mutuz
 
hii inaitwa kataa tamaa au subiri ushindi uzeeni....huu ndo ujumbe vijana watajifunza kwa le mutuz!30 years mamtoni,miaka mitatu ya hustling bongo na ukarabati wa nyumba ya msajili umechukua miezi sita!duh!...ingekuwa ukubwa wa umbo ndo kumiliki mijengo mingi le mutuz angekuwa ana magorofa 30

- Ningekuelewa kama ungekuwa nayo hayo magorofa masikini wa Mungu, naamini hata baiskeli huna pole sana!!

Le Mutuz
 
hii inaitwa kataa tamaa au subiri ushindi uzeeni....huu ndo ujumbe vijana watajifunza kwa le mutuz!30 years mamtoni,miaka mitatu ya hustling bongo na ukarabati wa nyumba ya msajili umechukua miezi sita!duh!...ingekuwa ukubwa wa umbo ndo kumiliki mijengo mingi le mutuz angekuwa ana magorofa 30

Swahiba unaposema nyumba ya msajili unamaanisha nn? Nitoe tongo tongo plz
 
- Ningekuelewa kama ungekuwa nayo hayo magorofa masikini wa Mungu, naamini hata baiskeli huna pole sana!!

Le Mutuz

Congrats le baharia, kumiliki nyumba ni big deal hata ikiwa ya chumba kimoja( I know the struggle) for the first time in my life(may be the last) NAKUPONGEZA
 
Congrats le baharia, kumiliki nyumba ni big deal hata ikiwa ya chumba kimoja( I know the struggle) for the first time in my life(may be the last) NAKUPONGEZA

- Nilikwambia Degree 3 sio mchezo inamchukua asiye na Degree muda mrefu sana kukuelewa U know finally umekubali kwamba akili kubwa na akili ndogo ni ipi hapa? hahahahaha

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom