Habari za wakati Kama huu ndugu zangu wana JF, katika harakati zangu za kutafuta maisha nimebahatika kuishi nchi tofauti tofauti lakini niseme ukweli sisi watanzania tupo tofauti Sana na nchi nyingine zilizotuzunguka,
Naongelea nchi km Zambia, Congo, Kenya, Uganda, Malawi, Namibia, Somalia, Mozambique kiukweli tupo tofauti Sana kwa style ya maisha tunayoishi,
Tanzania tumebarikiwa sana tukianzia jiografia ya nchi. Tanzania ina Hali ya hewa ya aina zote, kuna nyanda zenye baridi, kuna nyanda zenye joto, tuna pwani nzuri, tuna sehemu zenye Hali ya jangwa,tuna sehemu zenye rutuba ya kutosha, hii ipo tofauti kwa hz nchi nyingine ambazo hazina sifa zote tulizonazo sisi.
Kutokana na kuwa na Hali ya hewa tofauti tofauti imesababisha kuwepo na aina tofauti za udongo na virutubisho tofauti tofauti hvyo kufanya tuwe na mazao ya Kila aina ,mfano kwa hapa kwetu Tanzania kifungua kinywa asubuhi unauwezo wa kuamua nile magimbi,viazi,uji ,mkate,mihogo katika nchi nyingine machaguo ni machache mno, ndo maana hapa kwetu ni ajabu au aibu kusikia mtu au watu kuvamia na kuiba sokoni.
Umeshawahi kula wali maharage Nazi na dagaa wa uono pale chumbageni Tanga jirani na Kijiji Cha miaka 21? Ndo utajua maharage Ni km maini au Umeshawahi kula mboga ya majani ya maboga yaliyoungwa na karanga ukala na ule wali wa kunukia tukuyu kyela
Tanzania kwa misosi hapa ndo mahala pake, ukiachilia Somalia na Mombasa Kenya, Tanzania tunamapishi yanyofanya chakula kiwe kitamu kupita maelezo, nchi kama Congo nyama ya ng'ombe wanakula matajiri, Mara nyingi wafanyakazi wa UN, ukimuambia mzulu akupikie ugali au wali,utaona kituko cha maisha
Ukija kwa dada zetu nao hawapo nyuma,huku kwetu Tanzania wapo wasichana warembo wa Kila aina na maumbile tofauti hii ipo tofauti Sana na nchi km Rwanda au Congo wadada wa huko wengi ni wa aina moja.
Hata sisi wanaume tukienda nchi jirani wadada wa kule wanatupenda sana, mfano Congo wanaume wa kitanzania wanaitwa wamerakani weusi, hii inatokana vijana wa Kitanzania tuna swagger za kutosha, kuanzia muonekano wa maumbo yetu na mavazi ya kijanja.
Yaani kwa kifupi sisi taifa la Tanzania ni kama bidhaa zenye sifa tofauti tofauti.
Lakini vyoto hyo tuna utajiri wa kutosha wa maliasili hapa kila mmoja anajua hilo.
La kumalizia pamoja na kuwa nchi yetu ni kubwa lakini mikoa imeunganishwa na lami tofauti na nchi km Congo, Ethiopia, Zambia na hata ukienda mikoani hakuna tofauti Sana na miji mikuu, mfano mtu alieko kijiji cha kipara mnero mkoani Lindi anapata asilimia 80 ya mahitaji kama alyeko mjini.
Lahiti km kiingereza kingekuwa lugha ya taifa, tungekuwa mbali sana watanzania wengi lugha ya Kiingereza inawatatiza inadumaza harakati za maisha!
Naongelea nchi km Zambia, Congo, Kenya, Uganda, Malawi, Namibia, Somalia, Mozambique kiukweli tupo tofauti Sana kwa style ya maisha tunayoishi,
Tanzania tumebarikiwa sana tukianzia jiografia ya nchi. Tanzania ina Hali ya hewa ya aina zote, kuna nyanda zenye baridi, kuna nyanda zenye joto, tuna pwani nzuri, tuna sehemu zenye Hali ya jangwa,tuna sehemu zenye rutuba ya kutosha, hii ipo tofauti kwa hz nchi nyingine ambazo hazina sifa zote tulizonazo sisi.
Kutokana na kuwa na Hali ya hewa tofauti tofauti imesababisha kuwepo na aina tofauti za udongo na virutubisho tofauti tofauti hvyo kufanya tuwe na mazao ya Kila aina ,mfano kwa hapa kwetu Tanzania kifungua kinywa asubuhi unauwezo wa kuamua nile magimbi,viazi,uji ,mkate,mihogo katika nchi nyingine machaguo ni machache mno, ndo maana hapa kwetu ni ajabu au aibu kusikia mtu au watu kuvamia na kuiba sokoni.
Umeshawahi kula wali maharage Nazi na dagaa wa uono pale chumbageni Tanga jirani na Kijiji Cha miaka 21? Ndo utajua maharage Ni km maini au Umeshawahi kula mboga ya majani ya maboga yaliyoungwa na karanga ukala na ule wali wa kunukia tukuyu kyela
Tanzania kwa misosi hapa ndo mahala pake, ukiachilia Somalia na Mombasa Kenya, Tanzania tunamapishi yanyofanya chakula kiwe kitamu kupita maelezo, nchi kama Congo nyama ya ng'ombe wanakula matajiri, Mara nyingi wafanyakazi wa UN, ukimuambia mzulu akupikie ugali au wali,utaona kituko cha maisha
Ukija kwa dada zetu nao hawapo nyuma,huku kwetu Tanzania wapo wasichana warembo wa Kila aina na maumbile tofauti hii ipo tofauti Sana na nchi km Rwanda au Congo wadada wa huko wengi ni wa aina moja.
Hata sisi wanaume tukienda nchi jirani wadada wa kule wanatupenda sana, mfano Congo wanaume wa kitanzania wanaitwa wamerakani weusi, hii inatokana vijana wa Kitanzania tuna swagger za kutosha, kuanzia muonekano wa maumbo yetu na mavazi ya kijanja.
Yaani kwa kifupi sisi taifa la Tanzania ni kama bidhaa zenye sifa tofauti tofauti.
Lakini vyoto hyo tuna utajiri wa kutosha wa maliasili hapa kila mmoja anajua hilo.
La kumalizia pamoja na kuwa nchi yetu ni kubwa lakini mikoa imeunganishwa na lami tofauti na nchi km Congo, Ethiopia, Zambia na hata ukienda mikoani hakuna tofauti Sana na miji mikuu, mfano mtu alieko kijiji cha kipara mnero mkoani Lindi anapata asilimia 80 ya mahitaji kama alyeko mjini.
Lahiti km kiingereza kingekuwa lugha ya taifa, tungekuwa mbali sana watanzania wengi lugha ya Kiingereza inawatatiza inadumaza harakati za maisha!