Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuhu poleh sanah mkuhu
Wadau humu ndani naomba ushauri wenu.Nilkuwa na mpenzi wangu mmoja ninampenda sana.Me huwa napendaga utani nikamtania tuachane almost three times atlast inikiwa namtania ameniambia hawezi kurudiana na mimi tena wakati bado nampenda sana mara aniambie anamwingine,sina moyo wakupenda tena,hata nikipenda hapendi toka moyoni na hataweza kunipenda tena mimi, Katika mahusiano yetu tuliwekeana maahadi ya kumtafutia chuo nimemtafutia na nimepata sasa ananiuliza namhangaikia kwa ajili gani? ??????????ananipa masharti nikimsaidia nijue kwamba hatuwez kurudiana tena NAOMBENI USHAURINI WENU NIFANYAJE, BADO NAMPENDA NASIWEZI KUMSAHAU
Kumekucha...