Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
mie nashangaa tu, tatizo kuna picha kuwa mwanamke hapendi ngono, anafanya tu sababu kaolewa au kashawishiwa na mwanamme.
People grow up, hata kabla ya ndoa mwanamke anaitikia vichocheo kabisa.
Waacheni wanaotaka wagawe hawa 'virgins in a maternity ward' nao waacheni waendelee na dunia yao.
People grow up, hata kabla ya ndoa mwanamke anaitikia vichocheo kabisa.
Waacheni wanaotaka wagawe hawa 'virgins in a maternity ward' nao waacheni waendelee na dunia yao.