KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Jamani watanzania wenzangu mlioko tanzania na mlioko nje yatanzania na wapenda wote nanitafarijika pale nitasikia mmoja wenu amepata kazi kupitia matangazo ya kazi za UN ninayo nyweka hapa katika jamvi!lakini sitoishia hapa leo nakuja nakitu kipya kinaitwa:
Inspira ni searcher engine ya UN kazi zote lazima ziwekwe humu Dunia nzima sasa chakufanya nikuingia katika hii site na unarejista unakuwa na akaunti pale unapotaka kuangalia leo wameweka kazi gani unaingia unitazama.
https://inspira.un.org/
Inspira ni searcher engine ya UN kazi zote lazima ziwekwe humu Dunia nzima sasa chakufanya nikuingia katika hii site na unarejista unakuwa na akaunti pale unapotaka kuangalia leo wameweka kazi gani unaingia unitazama.
https://inspira.un.org/