Nakupa laptop unanipa baiskeli

Atukuzwee

Senior Member
Aug 6, 2017
113
208
Nakupa lapotop unanipa baiskeli na hela kidogo

Location Arusha

Sifa ya laptop

Core i3
Ram 4gb
HDD 500
Processor 2.13
Haina tatizo lolote
Lile aina ya baiskeli ninayoitaka

887a0af98adc026b01dabd0b67162feb.jpg


Inaitwa ivite
Hyo apo

Niko serious

Nimevurugwa mwenye nayoo ani pm
 
Nakupa lapotop unanipa baiskeli na hela kidogo

Location Arusha

Sifa ya laptop

Core i3
Ram 4gb
HDD 500
Processor 2.13
Haina tatizo lolote
Lile aina ya baiskeli ninayoitaka

887a0af98adc026b01dabd0b67162feb.jpg


Inaitwa ivite
Hyo apo

Niko serious

Nimevurugwa mwenye nayoo ani pm
babu jaribu biko au tatu mzuka unaweza bahatika mzeee.. vyuma vimekaza aiseee
 
Nakupa lapotop unanipa baiskeli na hela kidogo

Location Arusha

Sifa ya laptop

Core i3
Ram 4gb
HDD 500
Processor 2.13
Haina tatizo lolote
Lile aina ya baiskeli ninayoitaka

887a0af98adc026b01dabd0b67162feb.jpg


Inaitwa ivite
Hyo apo

Niko serious

Nimevurugwa mwenye nayoo ani pm
aina ya baiskel unayohitaj bei yake inaanzia milioni moja na kitu na hiyo laptop ni ya laki nne, hapo hesabu zimekaaje mkubwa
 
Nakupa lapotop unanipa baiskeli na hela kidogo

Location Arusha

Sifa ya laptop

Core i3
Ram 4gb
HDD 500
Processor 2.13
Haina tatizo lolote
Lile aina ya baiskeli ninayoitaka

887a0af98adc026b01dabd0b67162feb.jpg


Inaitwa ivite
Hyo apo

Niko serious

Nimevurugwa mwenye nayoo ani pm

Hivi wewe unajua bei ya hiyo baiskeli kweli.Anayetakiwa amuongezee mwenzake hela ni wewe.Nenda pale Arusha Biycle center hiyo bei hutaiweza.computer siku hizi ni kila kona na bei poa kabisa
 
Hivi wewe unajua bei ya hiyo baiskeli kweli.Anayetakiwa amuongezee mwenzake hela ni wewe.Nenda pale Arusha Biycle center hiyo bei hutaiweza.computer siku hizi ni kila kona na bei poa kabisa
Kama unayoo njoo nkuongezee na hela basi
 
Hayo masharti yako ni magumu kama ya Mganga...!!

Unadhani ni nani ama wangapi humu JF watakuwa wanamiliki aina hiyo ya BAISKELI...!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom