chendelela
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 1,145
- 1,002
Nmecheka sana hii thread,ila kweli sio mbaya kukumbashana mambo yafaayo katika jamii
jama alituzingua sana aiseee ngoja nayeye akae pembeni kwanzaa japo yapo ya kukumbukwa kutoka kwake.na yeye wakapiga chini, kitendo hicho kilimkera sana, nilifika kaliua nov mwaka jana, jamaa tembea yake ni jioni na usiku kwani anaona aibu alivyopigwa chini na bint sakaya
Mbona Povu nyingi! Sijamlaumu Nyerere kwa kutojenga Butiama nimeeleza hiyo fact ieleweke!
camerooon agaah!Bila mke nyumba ya nini?
Hivi ni kweli hana mke na watoto? Inawezekana haya anayoyafanya yana connection ya kuishi bila mke wa mtoto!!
Umetoa mfano wa Nyerere kumtetea Prof na mm nimekupa mfano ya aliyoyafanya Nyerere ikiwepo viwanda vya Sukari ambavyo hatujaweza kuongeza hata kimoja .Swali je Prof kafanya nn kwa nchi zaidi
Ahhhh!! manka hatari akiona wakati wa kiinua mgongo umekaribia anakumaliza!picha jamani,kaoa manka? Hawa akina manka tuachie ssi tunaowajua jamani watawaua
Hata mheshimiwa wa awam ya tatu anakijuaAhhhh!! manka hatari akiona wakati wa kiinua mgongo umekaribia anakumaliza!