TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
Mke wa Nini Na Ulishaambiwa na Mzee Juma Ponda Mali kuwa Jamaa ana Kasura Kazuri?
Prof Haruna Lipumba mtoto ya ISEVYA.Ni aibu kwa mwanasiasa huyu umri wake uko jioni sana kiza kimeanza kuingia cha ajabu hakuna hata sehemu ya kuweka Jeneza lake yeye mwenyewe kwa sasa umeshatumia Robo tatu ya maisha yako ni aibu sana naombeni na vijana wa UKAWA hasa BAVICHA msimtetee huyu.
Huu ni Ushauri ambao Mimi nakuasa ukajenge kibanda kule Ilolanguru ili kije kikusitiri nitakuona wa ajabu kama utazikwa Makaburi ya Kinondoni kama Kanumba na Thomas Mashali Tafadhari rudi ukarabati kibanda.
Kumbe kwenye lile jengo shughuli za kisiasa zinafanyika mle, geto liko mlemle noma sana these people.Ha ha ha umenichekesha bure uyo kwake n buguruni makao makuu ya cuf si analala mule
Kweli ni kupiga mishe na ccm,ila hapa bongo kuna vichwa vimeshidikana sana ,noma sana.huyu profeseri hana mke mtoto wala nyumba kijijini kwao..
duh
yahayaaa
yupo mjini kupiga mishe na ccm.
Mkuu Amoxlin utanivunja mbavu,kwamba amesoma mpaka akasahau kama kuna haja ya kuwa na familia hatareee kubwa.Bwana yule naskia amesoma mpaka akasahau kama kuna haja ya kuwa na familia.
Acha ajibanze hapo ofisini maisha yaendelee.
Ila ni wa wapi?Umechemka ndugu lipumba kwao sio sikonge
Kubukua sana napo sometime inakuwa shida,maana unakuwa hueleweki tapeli si tapeli,kumbe kukomaa na uenyekiti wa cuf lengo lake ni kupiga bonji pale mjengoni.Chezea Field mars
hal...teh teh!!
Nyerere hakufanya kazi UN alipambana kuijenga nchi mfano viwanda eg General tire, Mwatex,Kiltex,Sungura tex,Urafiki,Kilimanjaro blanket,Blankets keko,Ubungo garment,Air Tanzania Na mengine mengi.Je hivyo vyote angevijenga Butiama leo hii pangekuwa kama Calfonia
labda shokapu imekwisha kaziYani kuna watu wa ajabu kweli yani baba zima umri ule kweli kabisa huna mke, huna mtoto akat wenzake wa rika lake wanao mpaka wajukuu,,, au kunao kitu kimejificha? Sababu mwanaume kamili sidhani kama anaweza kukaa maisha yake yote bila mke na kiukwel tu it's a shame.
duh!! jina tu "ilolangulu" kama dawa ya mshipaIn kweli pale kijijini kwao ilolanguru kuna kijumba cha ajabu sana utadhani ni ya mganga wa kienyeji kutolea majini
wewe kwenu wapi na umefanya nini huko kwenuNi aibu kwa mwanasiasa huyu umri wake uko jioni sana kiza kimeanza kuingia cha ajabu hakuna hata sehemu ya kuweka Jeneza lake yeye mwenyewe kwa sasa umeshatumia Robo tatu ya maisha yako ni aibu sana naombeni na vijana wa UKAWA hasa BAVICHA msimtetee huyu.
Huu ni Ushauri ambao Mimi nakuasa ukajenge kibanda kule Ilolanguru ili kije kikusitiri nitakuona wa ajabu kama utazikwa Makaburi ya Kinondoni kama Kanumba na Thomas Mashali Tafadhari rudi ukarabati kibanda.
Hilo ni jina la kinyamwezi limetokana na pale kijijini kuna mlima upande wa magharibi kwa hiyo maana ya ILOLANGULU ni ANGALIA MLIMA.duh!! jina tu "ilolangulu" kama dawa ya mshipa
Umenichekesha sanaYani kuna watu wa ajabu kweli yani baba zima umri ule kweli kabisa huna mke, huna mtoto akat wenzake wa rika lake wanao mpaka wajukuu,,, au kunao kitu kimejificha? Sababu mwanaume kamili sidhani kama anaweza kukaa maisha yake yote bila mke na kiukwel tu it's a shame.
Viongozi mashujaa wa nchi hii ndo akina nani hao?Atazikwa Dodoma kwenye makaburi aliyopendekeza Makonda ya viongozi mashujaa wa taifa hili!