cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Heshima mbele
Jamani naomba kujua nilisikia serikali inajipanga kutetea sisi wapangaji maana ss hv kachumba kamoja 40,000/ duh bado umeme maji ukijumlishaa hali ya maisha inavyokwenda jamani hali mbaya!
Sasa hv nyumba nzima ya vyumba 3 ni kuanzia 250,000/ kwa mwezi hivi jamani serikali yetu mbona halimalizi mambo kila kitu ni nusu nusu tunaelekea wapi maana kila kukicha mwenye nyumba wananyanyasa watu jamani
Naikumbusha serikali kwa hili limeishia wapi??????
Jamani naomba kujua nilisikia serikali inajipanga kutetea sisi wapangaji maana ss hv kachumba kamoja 40,000/ duh bado umeme maji ukijumlishaa hali ya maisha inavyokwenda jamani hali mbaya!
Sasa hv nyumba nzima ya vyumba 3 ni kuanzia 250,000/ kwa mwezi hivi jamani serikali yetu mbona halimalizi mambo kila kitu ni nusu nusu tunaelekea wapi maana kila kukicha mwenye nyumba wananyanyasa watu jamani
Naikumbusha serikali kwa hili limeishia wapi??????