Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
Nakumbuka zamani.............,zamani kwakweli ilikuwa raha sana na heshima tele,zamani
1.Marufuku kupita makaburini na ikitokea umepita basi ni mwendo wa haraka tena bila kuangalia nyuma wala kungea,lkn siku hizi makaburi yamegeuzwa gesti.
2.zamani mvua kama hizi zinazoendelea kunyesha Dar watu wako busy na kukinga maji na watoto kuoga kabisa,tena maji hayo yanakuwa salam kwa kunywa lkn siku hizi watu ni ma dispenser na maji ya chupa kwa sana.
3.Zamani mtu mzima akipita kwanza unampokea mzigo na kumfikishia kule aendako,lkn siku hizi watu wanawapiga mpaka vikumbo na salamu si lazima.
4.Zamani hasa kwetu Tv tulikuwa tunaangalia taharifa ya habari tu,au bada ya kumaliza kazi za shule tena jumamosi na jumapili tu,siku hizi watoto wanajua ratib zote za vipindi.
5.Zamani mgeni akifika kwako unampokea,anaingia ndani mnataniana hili na lile alafu salamu inafuata lakini siku hizi ukiskia hodi tu na salamu inatolewa hapo hapo utasema huyo mgeni haingii ndani.
6.Zamani hatukuangaika na vitafunio vya chai maana mihogo,viazi,magimbi vipolo vya ugali na wali asb ni kupasha na kula tu lkn siku hizi mara mkate ,sausage,mayai .
7.Zamani msiba unaheshimika lkn siku hizi msibani watu wamegeuza sehemu za kupata wachumba,kujipodoa na kuoneshana vitu tofauti tofauti.
8.Zamani hasa jioni nilipenda sana hadithi za bibi maana zilinifunza mambo mengi na ya kunijenga,hata michezo ya zamani hasa rede,kombolela,lakini sasa hakuna michezo hiyo.
NAJUA DUNIA YA SASA NI KIJIJI LKN KIJIJI HIKI MMMH WALA HAKIFANANI NA KILE CHA KWETU MAANA KIJIJINI KWETU WATU WALIISHI KWA UPENDO,AMANI NA UMOJA.
WEWE ZAMANI UNAKUMBUKA NINI?
1.Marufuku kupita makaburini na ikitokea umepita basi ni mwendo wa haraka tena bila kuangalia nyuma wala kungea,lkn siku hizi makaburi yamegeuzwa gesti.
2.zamani mvua kama hizi zinazoendelea kunyesha Dar watu wako busy na kukinga maji na watoto kuoga kabisa,tena maji hayo yanakuwa salam kwa kunywa lkn siku hizi watu ni ma dispenser na maji ya chupa kwa sana.
3.Zamani mtu mzima akipita kwanza unampokea mzigo na kumfikishia kule aendako,lkn siku hizi watu wanawapiga mpaka vikumbo na salamu si lazima.
4.Zamani hasa kwetu Tv tulikuwa tunaangalia taharifa ya habari tu,au bada ya kumaliza kazi za shule tena jumamosi na jumapili tu,siku hizi watoto wanajua ratib zote za vipindi.
5.Zamani mgeni akifika kwako unampokea,anaingia ndani mnataniana hili na lile alafu salamu inafuata lakini siku hizi ukiskia hodi tu na salamu inatolewa hapo hapo utasema huyo mgeni haingii ndani.
6.Zamani hatukuangaika na vitafunio vya chai maana mihogo,viazi,magimbi vipolo vya ugali na wali asb ni kupasha na kula tu lkn siku hizi mara mkate ,sausage,mayai .
7.Zamani msiba unaheshimika lkn siku hizi msibani watu wamegeuza sehemu za kupata wachumba,kujipodoa na kuoneshana vitu tofauti tofauti.
8.Zamani hasa jioni nilipenda sana hadithi za bibi maana zilinifunza mambo mengi na ya kunijenga,hata michezo ya zamani hasa rede,kombolela,lakini sasa hakuna michezo hiyo.
NAJUA DUNIA YA SASA NI KIJIJI LKN KIJIJI HIKI MMMH WALA HAKIFANANI NA KILE CHA KWETU MAANA KIJIJINI KWETU WATU WALIISHI KWA UPENDO,AMANI NA UMOJA.
WEWE ZAMANI UNAKUMBUKA NINI?