lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 16,452
- 21,894
Katika serikali za awamu ya pili na tatu alikosoa mambo kama:
1. Serikali ya awamu ya pili kushindwa kukusanya kodi
2. Serikali ya awamu ya pili kushindwa kupambana na wala rushwa
3. Ubinafsishaji holela uliofanywa na awamu ya tatu
4. Uvunjaji wa katiba ya nchi uliofanywa na serikali ya awamu ya pili
JE WEWE UNAKUMBUKA JAMBO GANI NYERERE ALILIKEMEA ALIPOKUWA HAI? TUPIA HAPA
1. Serikali ya awamu ya pili kushindwa kukusanya kodi
2. Serikali ya awamu ya pili kushindwa kupambana na wala rushwa
3. Ubinafsishaji holela uliofanywa na awamu ya tatu
4. Uvunjaji wa katiba ya nchi uliofanywa na serikali ya awamu ya pili
JE WEWE UNAKUMBUKA JAMBO GANI NYERERE ALILIKEMEA ALIPOKUWA HAI? TUPIA HAPA