Stage ya kupigana utotoni ni lazima kila mtoto wa kiume anaipitia mkuu, lakini mchezo wa masumbwi ndio nachozungumzia.Wewe unaonekana hujawahi kupigana katika maisha yako, nakumbuka wakati tuko primary tumepigana sana na kuumia haswa hadi nilipofika F5 ndo nikaacha
Ndio wewe uliyeacha kupigana baada ya kuchomolewa betriWewe unaonekana hujawahi kupigana katika maisha yako, nakumbuka wakati tuko primary tumepigana sana na kuumia haswa hadi nilipofika F5 ndo nikaacha