wehoodie
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 1,021
- 992
Biashara ya retail Tanzania ni Ngumu sana (clothing, restaurant) kwa supermarket kwa sababu viosk viko kila kona - unlicenced, hawalipi kodi n.k.
Pia purchasing power ya watanzania ni ndogo sana - shoprite anaweza ku-survive MCity tu kwa sababu ni center ya watu wengi. Kuna baadhi ya unique product tutazikosa....
Uchumi wanaweza kuendesha hiyo maana hata kenya wao wanalenga middle class wakati Nakumatt wanalenga upscale shoppers.
Hivi mtu atoke tabata kwenda shoprite kununua mchele/sabuni/sukari wakati mangi anauza hapo nje kwa bei ambayo ni flexible haijaongezwa pango, tax etc.....
Pia purchasing power ya watanzania ni ndogo sana - shoprite anaweza ku-survive MCity tu kwa sababu ni center ya watu wengi. Kuna baadhi ya unique product tutazikosa....
Uchumi wanaweza kuendesha hiyo maana hata kenya wao wanalenga middle class wakati Nakumatt wanalenga upscale shoppers.
Hivi mtu atoke tabata kwenda shoprite kununua mchele/sabuni/sukari wakati mangi anauza hapo nje kwa bei ambayo ni flexible haijaongezwa pango, tax etc.....