Doswe Dossena
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 314
- 552
Habari?
Bila shaka weekend imeenda vyema.
Baadhi ya wadada wa mjini wasioolewa na wanaopenda kuruka na kujivinjari viwanja mbali mbali vya starehe na mabuzi yao/sponsor huku wakitumia msemo wa 'tunakula ujana'.
Sisi wanaume huwa tunawaangalia wa jicho la huruma na kuwashangaa, mana msichana huyo anatoa kauli hyo akiwa na 20-30 yrs huku akijisahau kama umri unaenda nayeye anazidi kuchakaa kwa matumizi ya majanadume.
Baada ya kugota 31 yrs(jua la jioni) ndio anakuja kustuka kama ujana ulimla yeye badala ya yeye kuula ujana kama wasemavyo na anakuwa kashashuka bei hana soko tena kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
"Tunakula ujana" msemo huu ni wa kwetu sisi wanaume. Mana tunaweza fanya fujo zote ujanani lakini ukijisikia kutulia bado tunakuwa wapya kama tumetoka dukani mda huo huo na mvuto kwa wadada unakuwa upo pale pale(labda uchakae kwa shida tu) na hata ukitaka kuoa muda wowote unaweza fanya hivyo tofauti na nyinyi(wanawake) huwa mnashuka thamani.
[HASHTAG]#DOSWE[/HASHTAG]
Bila shaka weekend imeenda vyema.
Baadhi ya wadada wa mjini wasioolewa na wanaopenda kuruka na kujivinjari viwanja mbali mbali vya starehe na mabuzi yao/sponsor huku wakitumia msemo wa 'tunakula ujana'.
Sisi wanaume huwa tunawaangalia wa jicho la huruma na kuwashangaa, mana msichana huyo anatoa kauli hyo akiwa na 20-30 yrs huku akijisahau kama umri unaenda nayeye anazidi kuchakaa kwa matumizi ya majanadume.
Baada ya kugota 31 yrs(jua la jioni) ndio anakuja kustuka kama ujana ulimla yeye badala ya yeye kuula ujana kama wasemavyo na anakuwa kashashuka bei hana soko tena kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
"Tunakula ujana" msemo huu ni wa kwetu sisi wanaume. Mana tunaweza fanya fujo zote ujanani lakini ukijisikia kutulia bado tunakuwa wapya kama tumetoka dukani mda huo huo na mvuto kwa wadada unakuwa upo pale pale(labda uchakae kwa shida tu) na hata ukitaka kuoa muda wowote unaweza fanya hivyo tofauti na nyinyi(wanawake) huwa mnashuka thamani.
[HASHTAG]#DOSWE[/HASHTAG]