SHAROBALO
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 771
- 349
Najua kuna wataalamu wengi sana hapa wa PD proxy....Ila kumbe kujua mengi si kujua kila kitu..... I have a simple trick it works like Charm... unfortunately sita mwaga hapa wala kwa PM so don't waste your time, instead nitawapa Ma reseller wa PD proxy kwa Makubaliano maalumu nawaamini sana na wao wata wapa wateja wao. si wapondi wataalamu wetu nawakubali sana wao ndio wamenifahamisha kuhusu PD. so wakuu tulieni na subirieni kiTu toka kwa walio wauzia vocha waambieni wanichecki mimi. naamini na wao hawatapost kitu hapa...this time ni kushusha Ma GB tu. please kama wewe ni reseller na upo kwenye list ya Authorized reseller KWENYE WEB YA Pd proxy ni PM haraka haraka wana jamii wanataka kula mambo...cheers wakuu!!!! hehehe rahaa