SEMBE WA LUSANGA
Member
- Apr 6, 2012
- 97
- 34
Jamani naombeni msaada wa haraka, chakula nakula kama kawaida ila choo sipati, nikipata nikidogo sana halafu kinatoa harufu na upatikanaji wenyewe ni washida tena baada ya siku mbili. Nilikwenda hospital wakapima choo wakaniambia ninaminyoo, nikapewa albendazone doze, nimemaliza lakini hakuna ahueni. Msaada please!