Stephano Komba
Member
- Oct 9, 2010
- 13
- 3
Kwa muda mrefu sasa nakula chakula kidogo sana matokeo yake sinenepi, kama unanijua uwezi kunitofausha wakati nipo shule na sasa ninavyofanya kazi naomba kusaidiwa mawazo.
Kweli unachekesha.wenzio wanatamani wapungue wewe unautafuta unene? kwani unaumwa ukiwa mwembamba?
Kwa muda mrefu sasa nakula chakula kidogo sana matokeo yake sinenepi, kama unanijua uwezi kunitofausha wakati nipo shule na sasa ninavyofanya kazi naomba kusaidiwa mawazo.