Kulupura
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,052
- 1,181
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wimbo usio kuwa na chorus ni jibu rahisi kwa hoja nzito!Tatizo ni lako si langu.
Mimi nimekupa darsa nahisi limekuingia.
Jamani Mbowe amewafanya nini kutwa kumtaja? Amewashika pabaya aisee......Kwa hiyo na wewe umetoa laana, au ? Isitoshe kwa nini huo ushauri usimpe Mbowe?
Mapambio.Wimbo usio kuwa na chorus ni jibu rahisi kwa hoja nzito!
Hawanaga msimamo japo wanachikitetea Mara nyingi hua ni cha haki.Wanabadilika badilika kama yule pengo au mwanya.Huyu mama waislamu wamewahi kuandamana kumtaka ang'oke NECTA kwa kuvurunda, leo anawaletea wanafunzi, watoto wa masikini dharau kisa eti ana mamlaka
Hapa Chini picha za waislamu walipoandamana kupinga madudu ya NECTA.
View attachment 1296300View attachment 1296302View attachment 1296303
kila wakati unakiri kwa mapambio yenu kimoyomoyo!Mapambio.
Siku ya kukuelewa ntakujibu.kila wakati unakiri kwa mapambio yenu kimoyomoyo!
Utatoaje elimu bora bure kwenye nchi maskini? Hii inayotolewa ni bora elimu. Yaani angalau watu wajue kusoma, kuandika na kuhesabu, basi. Elimu ni gharama, na inatolewa bure kwenye mataifa tajiri kama matumizi ya utajiri wao. Eti elimu bure TZ halafu ukashindane na anayesoma Uingereza! Thubutu!Elimu bureeeee, unadhani ni nini tutawaliwe na wenye nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kumtisha waziri kibwengo weweUtavuna unachopanda .
Ameharibu Sana mfumo wa elimu vyuo vikuu kwa kutowatambua waliosoma zamaniBinafsi mwenye mafanikio ya huyu mama toka awe waziri wa elimu ningependa ayeweke hapa jukwaani.
Hakuna kitu ameharibu kama ku dis regard elimu za watu waliosoma zamani. Ithibati aliyoiweka imewaweka pembeni watu wengi waliosoma zamani.
Kuna vyuo zamani vilitoa elimu leo hii elimu haitambuliki, She will soon fce karma for her deeds. Na uzuri anayatenda haya tukikaribia uchaguzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye mikopo hapo imekuwaje vijana wanapunguziwa bila ya kuwa na maelezo yoyote? Na ilihali unasema bajeti imeongezwaMookiesbad98,
Ngoja nikutajiye:
1. Hakuna Karo STD 1 to Secondary
2. Changamoto ya madawati shuleni imepungua kama siyo kuondolewa kabisa.
3. Changamoto ya madarasa imepungua sana
4. Shule nyingi za zamani zimekarabatiwa
5. Ufaulu mashuleni umeongezeka
6. Mikopo ya wanafunzi wa vyuo imeongezeka mara 100%
7.....
Kikwete halisemaga akili za kuambiwa changanya nazako wameona kabia au kusikia mbowe na genge lake wameufyata kabisaTatizo ni pale DARUSO wameshindwa kuusoma upepo
Yani mzee mzima Mbowe anaomba maridhiano wewe mwanachuo unaitisha maandamano
Hawaoni walimu na madaktari sasa hivi kimya wao wanachuo eti wanaitisha serikali ya JiwweKikwete halisemaga akili za kuambiwa changanya nazako wameona kabia au kusikia mbowe na genge lake wameufyata kabisa
Na kujisalimisha, sasa wao wanatikisa kiberiti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii itakuwa Unguja hii.Huyu mama waislamu wamewahi kuandamana kumtaka ang'oke NECTA kwa kuvurunda, leo anawaletea wanafunzi, watoto wa masikini dharau kisa eti ana mamlaka
Hapa Chini picha za waislamu walipoandamana kupinga madudu ya NECTA.
View attachment 1296300View attachment 1296302View attachment 1296303
Hebu pitia hotuba ya magufuli alipokuwa anaomba kura 2015.Acha kumtisha waziri kibwengo wewe
Hata ungekua wewe ungefukuza,unalia tu kwa sababu hao waliofukuzwa ni chaso mliwachuuza,mkawatumia na sasa hamuwezi kuwasaidia
Awamu hii huwa haitishiwi nyau,ukitishia tu maandamano tunakufukuzia mbali ukahangaike na wazazi wako