Nakukumbusha Waziri Makamba, kama tuliweza kuileta crane yenye tani 70 tushindwaje tani 26?

MAKAMBA yuko mahususi Kwa ajili ya kurudusha ule mchezo mchafu wa kina lowasa zamani na inawezekana ametangulizwa tu mbele ila wakuu wako Nyuma
Biashara ya majenerata ndio hiyo inarudi

Watanzania tuombe sana nchi inarudishwa mikononi mwa wale Jamaa wa enzi zile

Kwa MAKAMBA Mama Samia umechemka.
Samia hawezi kufanya lolote mkuu samia kawekwa pale
 
Lah, hii ni ngumu.

Hivi hatuwezi kuishi bila ya hizi pande mbili zote mbovu? Hii nchi itakuwa na laana ya namna gani!

Wewe unakubali "mara 100 upigwe", na huyo mwingine naye anajiapiza "dikteta" ndiye chaguo lake!

Kutekwa ,kuuliwa,kupigwa risasi,umasikini uliokithiri,wafayabiashara kufilisiwa Vs Kuleta Makampuni ipi bora?
 
Mmoja atuonyeshe picha za hivyo vyuma vinavyotakiwa kubebwa ili tutoe comment concret hapa kuliko kuendelea kupiga taarabu.
Lakini kama sikosei amesema hizo crane zinakuja ila hazitafika kwa muda huo tajwa.
 
Mmoja atuonyeshe picha za hivyo vyuma vinavyotakiwa kubebwa ili tutoe comment concret hapa kuliko kuendelea kupiga taarabu.
Lakini kama sikosei amesema hizo crane zinakuja ila hazitafika kwa muda huo tajwa.
Kaka kimahesabu tu.hyo milango Ina tani 26.
hao waturuki Wanaojenga reli Wana winch ya kubeba tani 40 na kitu.
Hii pia unataka uone picha?
hilo bwawa la nyerere.samia akifanya masikhara linakufa bila kuwaka umeme.
 
Watanzania acheni kutia aibu, CRANE TON 26 na hiyo TON 70 jamani ni ndogo saaana hizo kwenye uwanja huu hapa TZ...

Tanzani zipo mpaka crane mobile na crawler za mpaka ton 300.... hapa nazungumzia kuanzia 100,200 to 300tons can be either crawler or mobile nendeni pale EFFCO DSM, ALSTAIR, au hata kwa Raphael logistic...
Mkuu hii jf Bwana ,apa umepiga kitu kizito KWA J ,Makamba waziri,
 
Mh Janury Yusuph Makamba nakukumbusha kuwa mwezi March, 28 2021 TPA ilileta Crane yenye uzuto wa Tani 70 ila kwa Bahati mbaya ilitumbukia baharini palepale Bandarini Jijin Dar es salaam, na TPA waliahidi kuwa wanauwezo wa kuitoa, sasa kama TPA walileta mzigo wa Tani 70 iweje useme Tanzania nzima hakuna Crane yenye uwezo wakubeba tani 26?

Mh. Makamba wanyetidhaji wangu wananiambia picha inayonekana hapo chini imepigwa na mfanyakazi wa huko eneo la mradi na hizo crane unaziona hapo mbili ziko 3 na kila moja inauwezo wakubeba Tani 10 kwa maana zote tatu mzigo wa tani 26 unabebeka, sasa unatuambia hakuna crane inayoweza kubeba tani 26 kweli?

Mh Makamba angalia lile daraja la SGR la KM 2.5 toka station mpaka shaurimoyo zile berms zilizopandishea kule juu unajua zina usito gani? Tutake radhi Mh January unatupa mashakha sana.View attachment 2007794View attachment 2007795View attachment 2007796

View attachment 2007829
Labda kanukuliwa vibaya!
 
Huyu alitakiwa mpaka saiv awe kashatumbuliwa,lakin kwakua wameamua kurudisha siasa tena ichukue asilimia 90 kwenye mambo ya msingi basi.Kidogo mwendazake alipunguza.
 
Huyu alitakiwa mpaka saiv awe kashatumbuliwa,lakin kwakua wameamua kurudisha siasa tena ichukue asilimia 90 kwenye mambo ya msingi basi.Kidogo mwendazake alipunguza.
Sasa Samia anajua nn? Ingekuwa Magufuli sawa hizo Tan anazijua vizuri kuwa ni ndogo ila Samia ye akiambiwa hamna anakubali tu.
 
Ina maana Adio yako mkubwa ni makamba pekee mbona mambo ya ajabu
Ukiamka Makamba
Ukilala Makamba
Ukigeuka Makamba
Mbona hawasemi mbolea ni Elfu 95 saiv au hawaoni kila kitu Makamba
Kwa hiyo akilikoroga aangakiwe tu?
 
Kaka kimahesabu tu.hyo milango Ina tani 26.
hao waturuki Wanaojenga reli Wana winch ya kubeba tani 40 na kitu.
Hii pia unataka uone picha?
hilo bwawa la nyerere.samia akifanya masikhara linakufa bila kuwaka umeme.
Hapa kuna mchezo unatengenezwa watu wapige hela.Si bure
 
Kwa mujibu wa wadau waliopo kwenye mradi wa JNHP huko Rufiji wamedai tena kwa ushahidi wa wazi kuwa crane za kunyanyua uzito wa kuzidi hata hizo tani 26 zipo eneo la mradi na zinafanya kazi mbalimbali.

Ajabu na katika hali ya kustaajabisha Waziri wa Nishati bwana mdogo Makamba kwa kinywa chake alitamka bungeni siku za hivi karibuni eti mitambo ya aina hiyo haipo nchini jambo ambalo si la kweli!

Bunge limekubali kudanganywa?

Kwa nini baadhi ya wabunge waliopo katika kada ya uhandisi hawajamsaidia Spika kumtonya kwamba Makamba analidanganya Bunge?!

Je, Makamba aendelee kuchekewa kwa udhaifu aliouonyesha?
 
Hii nchi ni ngumu sana.kuna kalaana Fulani nadhani.kilicho chema tunakikataa kilicho cha ovyo tunakisifia.kwa ujumla inaumiza sana
 
Back
Top Bottom