Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,774
- 2,201
Samia hawezi kufanya lolote mkuu samia kawekwa paleMAKAMBA yuko mahususi Kwa ajili ya kurudusha ule mchezo mchafu wa kina lowasa zamani na inawezekana ametangulizwa tu mbele ila wakuu wako Nyuma
Biashara ya majenerata ndio hiyo inarudi
Watanzania tuombe sana nchi inarudishwa mikononi mwa wale Jamaa wa enzi zile
Kwa MAKAMBA Mama Samia umechemka.