zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,031
- 28,667
Mkuu hujui kitu kabisa mie eneo langu naloishi nmeshuhudia kabisa fomu za matokeo zikibadilishwa na zina sahihi tayari ilihali zinatofautiana na za mawakala. Ikatokea vurugu kubwa hadi madarasa ya shule ya msingi yakachomwa ikawa fujo sana hadi matokeo yakafutwa.Kisingizio kuwa tume sio huru ni uongo tu. Maana tume inasimamia uchaguzi kwa mujibu wa sheria na kanuni. Na kila chama huwa na wakala wa kulinda kura.
Na hakuna mwananchi ambaye huwa anashikiwa bunduki ili achague kiongozi wa chama asichokitaka. Msisingizie vyombo vya dola kwa mambo ya uongo. Kama kushindwa mnashindwa sababu CCM inatekeleza ilani yake vizuri.
Siku 1 baadae wakabandika matokeo waliokuja nayo kwapani na akatangazwa CCM imeshinda hku amezingirwa na FFU wenye SMG kabisa!! So huwezi nifundisha CCM inaiba au lah wakati nlishuhudia kwa macho hiyo 2015.
Hii ilitokea kwa kafulila,wenje,Bungo,Naftali n.k ila of course mahakamani ni technicalities tu sio ushahidi ndio maana hakuna mtu alishinda kesi ya uchaguzi kwa pande zote mbili. Ila hizo za fomu kutofautiana zipo kweli na huna la kufanya.
Tume haijawahi kuwa huru otherwise CCM ingeshafutwa toka uchaguzi wa 2010 JK alipoambulia 48%!!