Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,105
Nimepata habari nikiwa safarini kutoka Kyela kuja DSM kwamba eti wewe Kitila Mkumbo umemkimbia Mwigulu kwenu Iramba na kuja kujaribu bahati yako jimbo la Ubungo , Nakukaribisha , lakini nakutahadharisha kwamba Ubungo si Jimbo jepesi na hasa kwa wanasiasa wasaliti kama wewe .
Mtoto wa Mjini , Didas Masaburi aliyekuwa Meya wa Jiji la DSM aliangukia pua mwaka 2015 bila huruma yoyote , alipigwa kwa tofauti ya zaidi ya kura elfu 10 , kumbuka huyu alikuwa timu Kikwete , aliyekuwa Rais , sioni namna yoyote ya wewe kuambulia hata nusu ya kura za masaburi 2015 , utapigwa kipigo cha mbwa koko uaibike na waliokuheshimu wakudharau moja kwa moja.
Omba Mungu usipitishwe na ccm kugombea ubungo .
Pia soma >Uchaguzi 2020 - Profesa Kitila Mkumbo akimbia Singida, atangaza nia jimbo la Ubungo
Mtoto wa Mjini , Didas Masaburi aliyekuwa Meya wa Jiji la DSM aliangukia pua mwaka 2015 bila huruma yoyote , alipigwa kwa tofauti ya zaidi ya kura elfu 10 , kumbuka huyu alikuwa timu Kikwete , aliyekuwa Rais , sioni namna yoyote ya wewe kuambulia hata nusu ya kura za masaburi 2015 , utapigwa kipigo cha mbwa koko uaibike na waliokuheshimu wakudharau moja kwa moja.
Omba Mungu usipitishwe na ccm kugombea ubungo .
Pia soma >Uchaguzi 2020 - Profesa Kitila Mkumbo akimbia Singida, atangaza nia jimbo la Ubungo