- Thread starter
- #41
Mtoto ni wako lakini kumbuka sheria hairuhusiwi kumpiga au kumuumiza na ukibainika unamshambulia mwanao wa kumzaa mwenyewe unafungwa jera!Umekurupuka. Mimi namaanisha eneo ni langu kisheria na nimepanda mti mwenyewe na kuutunza hadi ukakomaa. Nikitaka kuuvuna ni lazima nipate kibali cha maliasili!! Ukandamizaji huu.
Sheria inatambua miti yote inayopandwa iliyopo ni Mali ya asilia, huruhusiwi kukata wa kuchana mbao bila kibali!
Kwenye ardhi mmiliki mkuu ni serikali wewe ni mpangaji tu, ndiyo maana unatakiwa ulipie kodi ya ardhi/jengo