Habari za muda huu wanachama wenzangu wa Jamiiforums.
Mimi kuna jambo huwa linanitatiza SANA. Huwa linanitatiza kiasi cha kunipa maswali mengi sana kichwani. Na leo naomba niwaulize dada zangu wa 45+.
Unakuta kuna mama/dada wa miaka zaidi ya 40 au 45 au pengine hata miaka 50 anajaribu kuanzisha mahusiano na kijana au pengine mtu mzima mwenzie. Of course sio mbaya kuanzisha mahusiano kama una nia njema ya kufunga ndoa.
Lakini kwa mwanamke wa umri huo(45 mpaka 50 na kuendelea) huwa anatafuta nini hasa kwenye suala la mahusiano/ndoa ?
Kwanini nimeuliza hivyo ? Kwa sababu.
i. Mwanamke wa umri huo wengi wao huwa hawapati tena hedhi hivyo hawawezi kuzaa lakini pia hata hamu ya ngono unakuta hana tena kutokana na kukoma kwa hedhi.
Sasa anaanzisha mahusiano ya kazi gani ?
ii. Wanawake wa umri huo wengi unakuta TAYARI ana watoto. Mimi nnachokijua ni kuwa mtoto anachukua nafasi ya kwanza kwa mwanamke. Tayari ana mtoto/watoto sasa anataka nini kingine ?
Ukichukua sababu hii ukijumlisha na kukoma kwa hedhi kunakofanya kukosa hamu ya ngono ndo kunaponipa maswali; Sasa mwanamke wa umri huo unataka mahusiano ya nini ?
Hedhi hupati. (Huwezi kuzaa tena)
Hamu ya ngono huna(sidhani kama ngono itakufurahisha).
Watoto yawezekana tayari unao. Kama huna sidhani kama utapata baada ya hedhi kukoma.
Sasa niambie wewe unataka mahusiano ya nini ?
Utakuwa umenielimisha pakubwa sana.
Nashukuru sana kwa watakaonijibu. Mniwie radhi kama nimetumia lugha kali sana, nimeamua kuwa muwazi kwa sababu nataka kujua kwanini hasa unakuta mwanamke mtu mzima anakutongoza au kukutega.
Mimi kuna jambo huwa linanitatiza SANA. Huwa linanitatiza kiasi cha kunipa maswali mengi sana kichwani. Na leo naomba niwaulize dada zangu wa 45+.
Unakuta kuna mama/dada wa miaka zaidi ya 40 au 45 au pengine hata miaka 50 anajaribu kuanzisha mahusiano na kijana au pengine mtu mzima mwenzie. Of course sio mbaya kuanzisha mahusiano kama una nia njema ya kufunga ndoa.
Lakini kwa mwanamke wa umri huo(45 mpaka 50 na kuendelea) huwa anatafuta nini hasa kwenye suala la mahusiano/ndoa ?
Kwanini nimeuliza hivyo ? Kwa sababu.
i. Mwanamke wa umri huo wengi wao huwa hawapati tena hedhi hivyo hawawezi kuzaa lakini pia hata hamu ya ngono unakuta hana tena kutokana na kukoma kwa hedhi.
Sasa anaanzisha mahusiano ya kazi gani ?
ii. Wanawake wa umri huo wengi unakuta TAYARI ana watoto. Mimi nnachokijua ni kuwa mtoto anachukua nafasi ya kwanza kwa mwanamke. Tayari ana mtoto/watoto sasa anataka nini kingine ?
Ukichukua sababu hii ukijumlisha na kukoma kwa hedhi kunakofanya kukosa hamu ya ngono ndo kunaponipa maswali; Sasa mwanamke wa umri huo unataka mahusiano ya nini ?
Hedhi hupati. (Huwezi kuzaa tena)
Hamu ya ngono huna(sidhani kama ngono itakufurahisha).
Watoto yawezekana tayari unao. Kama huna sidhani kama utapata baada ya hedhi kukoma.
Sasa niambie wewe unataka mahusiano ya nini ?
Utakuwa umenielimisha pakubwa sana.
Nashukuru sana kwa watakaonijibu. Mniwie radhi kama nimetumia lugha kali sana, nimeamua kuwa muwazi kwa sababu nataka kujua kwanini hasa unakuta mwanamke mtu mzima anakutongoza au kukutega.