Optimists
JF-Expert Member
- Oct 17, 2021
- 278
- 686
- Thread starter
- #61
Ilo ndilo lengu langu Mkubwa, ukweli ni kwamba Nina access ya kupata hata million 5 anytime lakini nimeona nianze kama underdog niangalie soko lilivyo nione biashara inaendaje nikishaanza kuona mafanikio na nikijua njia zote za biashara basi naweza nikaingiza mtaji woote.Umesoma Ndanda mimi Songea Boys,ushauri wangu ni huo fanya Research,lakini Biashara hizi za mazao hasa kwa Kariakoo ni kwamba unafikisha mzigo unamkabidhi Dalali unaondoka,unaanza kuwasiliana na dalali kwa simu kumuuliza Biashara inaendaje(kwa kifupi unakuwa kama unamnyenyekea/unajipendekeza)kumuomba aupe first priority mzigo wako maana unapomkabidhi utamkuta ana mzigo wa watu wengine kama wako nao wanahitaji awauzie,hivyo ukiwa na sehemu ya kuuweka mzigo wako tena ya bure,kisha ukawa Supplier mwenyewe kwa wauzaji wa masoko ya mitaani utafanikiwa,muhimu uwe na bei nzuri chini ya ile ya wauzaji wa Kariakoo