Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Ahsante sana mkuu....Wavivu Summary:
Kijana wa Kisukuma, hajawahi kufika Dar, ni graduate wa Education, ana Million 1 taslim, anataka kuja Dar kutafuta maisha.
Kwa kuanza angependa kuuza Dagaa wakavu (dagaa kauzu), anachoomba mumtafutie (1) nyumba ya kupanga maenye nyumba anapokea kodi kwa mwezi (2) mahala pa kuuzia dagaa (meza)
Kumbe ni hivi tu ndo akaamua kutuchapishia gazeti?