Kig
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 1,076
- 456
Tafadhali nisaidieni jamani. Nina uvimbe puani kwa muda wa miaka 3 hasa Shimo la kulia la pua yangu.
Huu uvimbe ndani ya siku moja unaweza badilika hadi mara tatu. yaani kuna muda unaziba pua kabisa. kuna muda unapungua unakua mdogo halafu unajirudia na kuwa mkubwa.
Zamani nilikuwa sipati maumivu ila sasa nahisi maumivu kiasi. Nimekwenda hospitali mara nyingi lakini naambiwa eti ni hali ya kawaida. mara naambiwa ni alergy ingawa huwa siamini kama nina alergy yoyote. dawa ninazopewa ni za ku-spray ndani ya pua. nikispray uvimbe unapungua kiasi lakini baada ya muda unajirudia tena.
Naomba wataalamu mnisadie jamani ugonjwa huu unasababishwa na nini? tiba/ dawa yake ni ipi? Je inaweza kuwa kansa. Kama ni dalili ya kansa tafadhali nielekezeni jinsi ya kuushughulikia.
Duniani tuna dhiki, tusaidiane kimawazo na tutiane moyo.
Natanguliza shukrani.
Huu uvimbe ndani ya siku moja unaweza badilika hadi mara tatu. yaani kuna muda unaziba pua kabisa. kuna muda unapungua unakua mdogo halafu unajirudia na kuwa mkubwa.
Zamani nilikuwa sipati maumivu ila sasa nahisi maumivu kiasi. Nimekwenda hospitali mara nyingi lakini naambiwa eti ni hali ya kawaida. mara naambiwa ni alergy ingawa huwa siamini kama nina alergy yoyote. dawa ninazopewa ni za ku-spray ndani ya pua. nikispray uvimbe unapungua kiasi lakini baada ya muda unajirudia tena.
Naomba wataalamu mnisadie jamani ugonjwa huu unasababishwa na nini? tiba/ dawa yake ni ipi? Je inaweza kuwa kansa. Kama ni dalili ya kansa tafadhali nielekezeni jinsi ya kuushughulikia.
Duniani tuna dhiki, tusaidiane kimawazo na tutiane moyo.
Natanguliza shukrani.