Nakubaliana na Spika wa Bunge Job Yustino Ndugai lakini si katika yote aliyoyasema jana

Nilikua namsikiliza kwa umakini na kumsoma body language yake.. alipotamka hilo juu ya Rais ni kama kaelemewa sasa anahitaji msaada wa haya aliyofikiri wananchi hawatayafatilia.

Kumtaja Rais ni ameonyesha kwamba Rais ambaye tunaamini hana lolote katika hili kwamba yumo..

Inasikitisha kuona viongozi kama yeye anatumia mapaparazi kumfikishia CAG ujumbe wa kumtaka aende kwa Rais.. kwani hawaandikiani barua kiofisho hadi iwe anamrushia kama nenda huko akajieleze.. ya kitaka ajiudhuru.. yaani anasimamia sheria pia mbona hakutaja lolote!!!

Wakili nambie sasa hapa ni akajieleze nini eti? Ajiuzuru kwa lipi haswa? Kasema hataki kufanya nae kazi.. sasa si angekaa kimya.. haya mengine ya nini?

Ndio maana huwa nacheka pale ninapoona wengi hawajui kupanga.. hawafikirii dk 5 itakuwaje na waweje..
Hii ndio mama tz wezi wa mabilion wanawachwa wanakazi ya kumfutilia mtu aliyosema neno tu thaifu kutishwa kupelekwa dodoma kwa pingu kufika dodoma kuzalilisha kwa kumsachi kama co vip kutamka kutokufanya naye na haitoshi aende kwa mkuu aombe rathi.na ajiuzulu kosa ya yote amewaita zaifu kunakitu kiko nyuma ya pazia hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua namsikiliza kwa umakini na kumsoma body language yake.. alipotamka hilo juu ya Rais ni kama kaelemewa sasa anahitaji msaada wa haya aliyofikiri wananchi hawatayafatilia.

Kumtaja Rais ni ameonyesha kwamba Rais ambaye tunaamini hana lolote katika hili kwamba yumo..

Inasikitisha kuona viongozi kama yeye anatumia mapaparazi kumfikishia CAG ujumbe wa kumtaka aende kwa Rais.. kwani hawaandikiani barua kiofisho hadi iwe anamrushia kama nenda huko akajieleze.. ya kitaka ajiudhuru.. yaani anasimamia sheria pia mbona hakutaja lolote!!!

Wakili nambie sasa hapa ni akajieleze nini eti? Ajiuzuru kwa lipi haswa? Kasema hataki kufanya nae kazi.. sasa si angekaa kimya.. haya mengine ya nini?

Ndio maana huwa nacheka pale ninapoona wengi hawajui kupanga.. hawafikirii dk 5 itakuwaje na waweje..
Is this really you au simu yako imedukuliwa? 😁😁
 
Ndugai amejuaje kama CAG Assad anampa wakati mgumu rais ,kama hawajapanga ni nini? wanajiumbua wenyewe mchana kweupe .
 
Kwa mara ya kwanza nakupa 'like' mkuu
Nilikua namsikiliza kwa umakini na kumsoma body language yake.. alipotamka hilo juu ya Rais ni kama kaelemewa sasa anahitaji msaada wa haya aliyofikiri wananchi hawatayafatilia.

Kumtaja Rais ni ameonyesha kwamba Rais ambaye tunaamini hana lolote katika hili kwamba yumo..

Inasikitisha kuona viongozi kama yeye anatumia mapaparazi kumfikishia CAG ujumbe wa kumtaka aende kwa Rais.. kwani hawaandikiani barua kiofisho hadi iwe anamrushia kama nenda huko akajieleze.. ya kitaka ajiudhuru.. yaani anasimamia sheria pia mbona hakutaja lolote!!!

Wakili nambie sasa hapa ni akajieleze nini eti? Ajiuzuru kwa lipi haswa? Kasema hataki kufanya nae kazi.. sasa si angekaa kimya.. haya mengine ya nini?

Ndio maana huwa nacheka pale ninapoona wengi hawajui kupanga.. hawafikirii dk 5 itakuwaje na waweje..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilibahatika kufuatilia mkutano wa Spika Ndugai na Waandishi wa Habari alioufanya jana jijini Dar es Salaam. Nilifuatilia kuanzia maelezo yake;maswali aliyoulizwa;majibu yake na maswali aliyowauliza wauliza maswali.

Lipo jambo la kikatiba ambalo Spika Ndugai amelizungumza ili kujenga hoja yake kuwa kauli ya Prof. Assad juu ya udhaifu wa Bunge imemgusa hadi Rais Magufuli. Spika alisema kuwa Rais ni sehemu ya Bunge. Hilo nakubaliana na Spika Ndugai.

Lakini, katika utendaji wa Bunge, Rais huwa sehemu ya Bunge katika masuala mawili tu: katika utungaji wa Sheria na katika masuala ya kibajeti. Katika masuala mengine kama kuisimamia Serikali, Rais 'si' sehemu ya Bunge. Rais hawezi 'kujisimamia' mwenyewe akiwa sehemu ya Bunge na mkuu wa Serikali kwa upande mwingine.

Kauli ya Prof. Assad, kwa uelewa wangu, ililenga kwenye wajibu wa Bunge katika kuisimamia Serikali hasa katika kuhakikisha matumizi yanakuwa sawa na ufisadi unadhibitiwa. Katika hilo, Rais hawi sehemu ya Bunge. Hivyobasi, kauli ya Prof. Assad haikumhusu Rais Magufuli kama Spika Ndugai anavyotaka kutuaminisha.

Nasema tena kuwa kauli ya Prof. Assad haikumhusu Rais, Waziri Mkuu au Baraza la Mawaziri. Ililihusu Bunge katika muktadha na sura ya kuisimamia Serikali kwa kuisimamia na kutekeleza mapendekezo ya CAG kwenye Ripoti zake.

Si vyema kumleta Rais, Waziri Mkuu na Mawaziri kwenye sakata hili ili ionekane kuwa Prof. Assad amewakosea hata wakuu wake. Halafu, lugha ya staha iwe inatumika wakati wa kuipinga lugha inayodaiwa kuwa ni ya kuudhi. Vijembe na kejeli hazijengi.

Hakukuwa na haja ya kumshauri Prof. Assad kujiuzulu au kwenda kwa Rais kuzungumza naye kwa sababu mbili. Kwanza, azimio la Bunge limeshamwadhibu kwa kutofanya naye kazi na si kumshauri ajiuzulu. Pili, Prof. Assad hana mgogoro wowote na Rais ili akazungumze naye kwa kuomba radhi. Katika kuisimamia Serikali,Rais 'si' sehemu ya Bunge.
Usichokielewa ni kuwa ndugai ni subwoofer.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilibahatika kufuatilia mkutano wa Spika Ndugai na Waandishi wa Habari alioufanya jana jijini Dar es Salaam. Nilifuatilia kuanzia maelezo yake;maswali aliyoulizwa;majibu yake na maswali aliyowauliza wauliza maswali.

Lipo jambo la kikatiba ambalo Spika Ndugai amelizungumza ili kujenga hoja yake kuwa kauli ya Prof. Assad juu ya udhaifu wa Bunge imemgusa hadi Rais Magufuli. Spika alisema kuwa Rais ni sehemu ya Bunge. Hilo nakubaliana na Spika Ndugai.

Lakini, katika utendaji wa Bunge, Rais huwa sehemu ya Bunge katika masuala mawili tu: katika utungaji wa Sheria na katika masuala ya kibajeti. Katika masuala mengine kama kuisimamia Serikali, Rais 'si' sehemu ya Bunge. Rais hawezi 'kujisimamia' mwenyewe akiwa sehemu ya Bunge na mkuu wa Serikali kwa upande mwingine.

Kauli ya Prof. Assad, kwa uelewa wangu, ililenga kwenye wajibu wa Bunge katika kuisimamia Serikali hasa katika kuhakikisha matumizi yanakuwa sawa na ufisadi unadhibitiwa. Katika hilo, Rais hawi sehemu ya Bunge. Hivyobasi, kauli ya Prof. Assad haikumhusu Rais Magufuli kama Spika Ndugai anavyotaka kutuaminisha.

Nasema tena kuwa kauli ya Prof. Assad haikumhusu Rais, Waziri Mkuu au Baraza la Mawaziri. Ililihusu Bunge katika muktadha na sura ya kuisimamia Serikali kwa kuisimamia na kutekeleza mapendekezo ya CAG kwenye Ripoti zake.

Si vyema kumleta Rais, Waziri Mkuu na Mawaziri kwenye sakata hili ili ionekane kuwa Prof. Assad amewakosea hata wakuu wake. Halafu, lugha ya staha iwe inatumika wakati wa kuipinga lugha inayodaiwa kuwa ni ya kuudhi. Vijembe na kejeli hazijengi.

Hakukuwa na haja ya kumshauri Prof. Assad kujiuzulu au kwenda kwa Rais kuzungumza naye kwa sababu mbili. Kwanza, azimio la Bunge limeshamwadhibu kwa kutofanya naye kazi na si kumshauri ajiuzulu. Pili, Prof. Assad hana mgogoro wowote na Rais ili akazungumze naye kwa kuomba radhi. Katika kuisimamia Serikali,Rais 'si' sehemu ya Bunge.
Kwa aliyozungumza kweli alikuwa na ulazima wa kuitisha press??? Wanasheria ebu anzieni hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Go to hell...mods hii ni mara yangu ya kwanza kusema hivi.Msinipe ban ila nataka nimjurishe huyu mwanasheria kua atofautifishe legality na legitimacy katika ili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
46 Reactions
Reply
Back
Top Bottom