Nakubaliana na Mzee Butiku, Tusiwa waoga ikiwamo kumfikia Rais Magufuli kwa hoja bila woga

Freddie Matuja

JF-Expert Member
Jul 21, 2018
1,465
2,859
Amani ya Mungu alie mbinguni iwe juu ya Watanzania wote.

Juzi mzee Butiku amesikika akisisitiza watu kutuwaogopa viongozi ambao ni wanadamu wenzetu, ambao kimsingi tukiwapigia kura, wanakuwa ni watumishi wetu kwa kukusanya kodi na kusimamia shughuli za maendeleo.

Hata maandikiko matakatifu, Mungu mwenye nguvu zote kasema, "come and let us reason together"
Msingi wa kujenga hoja kwenye masuala ya msingi ni sehemu ya patriotism spirit ambayo hatupaswi hata kwa dakika moja kuipoteza hapa Tanzania.

Kama kuna mtu ambae hatupaswi kabisa kumwogopa ni Rais wa nchi na taasisi ya urais kwa ujumla. Japo tunawajibika kuwaheshimu kwa kuwa ni viongozi na wanaongoza taasisi ya Urais.

Na kama kuna mtu ambae ni visionary kwenye kutaka ku-champion ujenzi wa uchumi endelevu na uchumi jumuishi ni Rais Magufuli. Mara kwa mara amejinasibu kama tu anaetaka ku-drive change ikiwemo kuwajengea uwezo wazawa (indigenous) ili kuwa sehemu ya kujenga uchumi wa Tanzania.

Rais Magufuli ni mtu mzuri kwa kauli zake ziko wazi at extent ya kuwezesha wazawa. Je, wasaidizi wake wana same motive na yeye au ni wakata umeme. Rejea kauli ya Rais Nov 2016 akiongea na waandishi wa habari, je, Msigwa au msaidizi wa Rais kwenye uchumi na uwekezaji, yupo open minded kiasi gani kushadadia hili litokee??

Kwa upande mwingine Rais JPM, iko haja akafahamu kuwa, kuna watu "wanamlinda" sana to the extent wanabinya motive nzuri kama hii hapa chini, aliyozungumza juzi wakati amechukua form ya Urais

Je ni namna gani anajenga mikakati na njia mbadala ya kupata feedback kwa investment projects anazotaka zitokee, mambo yawezekanike??

Policy za TIC kuna namna zimepitwa na wakati na hazina mikakati ya kufanikisha yale ambayo Rais anatamani yatokee, basi yatokee kwa haraka.

Rejea pia

Rais atavunja Bunge la JMT mwezi Juni. Tuko wapi na tunafika lini nchi ya asali na maziwa?

Jumapili njema wakubwa.
 

Attachments

  • Rais Magufuli IKULU-Empowering Indiginous.mp4
    1.8 MB
  • 3 RAIS MAGUFULI-uwekezaji.mp4
    1,001 KB
Bandiko lako ni zuri, ila kwa tabia ya rais wetu hakupaswa kuwa rais hasa kwa katiba hii. Ukiona kiongozi anaingilia Muhimili wa bunge na mahakama ujue huyo hashauriki. Ukimsikia akiongea hadharani unaweza kuamini anachoongea ndio anachomaanisha, lakini kiuhalisia ukikaa naye utagundua anatekeleza anachoamini tu. Mtu anayeteleza anachoamini kwa vyovyote hujenga mazingira ya kuogopwa. Na washauri wake 90% kwa sababu ya unafiki, hujikuta wanamshauri anachokitaka na sio anachopaswa kushauriwa. Rais wetu huyu angeweza kuwa rais mzuri kwa katiba kama ya Marekani, ambapo rais hubaki akiteleza mambo sahihi tu ya nchi, na sio kichanganya na mambo sahihi kwake, chama chake na genge la wapambe wake.
 
Amani ya Mungu alie mbinguni iwe juu ya Watanzania wote.

Juzi mzee Butiku amesikika akisisitiza watu kutuwaogopa viongozi ambao ni wanadamu wenzetu, ambao kimsingi tukiwapigia kura, wanakuwa ni watumishi wetu kwa kukusanya kodi na kusimamia shughuli za maendeleo.

Hata maandikiko matakatifu, Mungu mwenye nguvu zote kasema, "come and let us reason together"
Msingi wa kujenga hoja kwenye masuala ya msingi ni sehemu ya patriotism spirit ambayo hatupaswi hata kwa dakika moja kuipoteza hapa Tanzania.

Kama kuna mtu ambae hatupaswi kabisa kumwogopa ni Rais wa nchi na taasisi ya urais kwa ujumla. Japo tunawajibika kuwaheshimu kwa kuwa ni viongozi na wanaongoza taasisi ya Urais.

Na kama kuna mtu ambae ni visionary kwenye kutaka ku-champion ujenzi wa uchumi endelevu na uchumi jumuishi ni Rais Magufuli. Mara kwa mara amejinasibu kama tu anaetaka ku-drive change ikiwemo kuwajengea uwezo wazawa (indigenous) ili kuwa sehemu ya kujenga uchumi wa Tanzania.

Rais Magufuli ni mtu mzuri kwa kauli zake ziko wazi at extent ya kuwezesha wazawa. Je, wasaidizi wake wana same motive na yeye au ni wakata umeme. Rejea kauli ya Rais Nov 2016 akiongea na waandishi wa habari, je, Msigwa au msaidizi wa Rais kwenye uchumi na uwekezaji, yupo open minded kiasi gani kushadadia hili litokee??

Kwa upande mwingine Rais JPM, iko haja akafahamu kuwa, kuna watu "wanamlinda" sana to the extent wanabinya motive nzuri kama hii hapa chini, aliyozungumza juzi wakati amechukua form ya Urais

Je ni namna gani anajenga mikakati na njia mbadala ya kupata feedback kwa investment projects anazotaka zitokee, mambo yawezekanike??

Policy za TIC kuna namna zimepitwa na wakati na hazina mikakati ya kufanikisha yale ambayo Rais anatamani yatokee, basi yatokee kwa haraka.

Rejea pia

Rais atavunja Bunge la JMT mwezi Juni. Tuko wapi na tunafika lini nchi ya asali na maziwa?

Jumapili njema wakubwa.
Anapendwa kuogopwa basi mwacheni aendelee hivyo hivyo mpaka mwisho.
 
Amani ya Mungu alie mbinguni iwe juu ya Watanzania wote.

Juzi mzee Butiku amesikika akisisitiza watu kutuwaogopa viongozi ambao ni wanadamu wenzetu, ambao kimsingi tukiwapigia kura, wanakuwa ni watumishi wetu kwa kukusanya kodi na kusimamia shughuli za maendeleo.

Hata maandikiko matakatifu, Mungu mwenye nguvu zote kasema, "come and let us reason together"
Msingi wa kujenga hoja kwenye masuala ya msingi ni sehemu ya patriotism spirit ambayo hatupaswi hata kwa dakika moja kuipoteza hapa Tanzania.

Kama kuna mtu ambae hatupaswi kabisa kumwogopa ni Rais wa nchi na taasisi ya urais kwa ujumla. Japo tunawajibika kuwaheshimu kwa kuwa ni viongozi na wanaongoza taasisi ya Urais.

Na kama kuna mtu ambae ni visionary kwenye kutaka ku-champion ujenzi wa uchumi endelevu na uchumi jumuishi ni Rais Magufuli. Mara kwa mara amejinasibu kama tu anaetaka ku-drive change ikiwemo kuwajengea uwezo wazawa (indigenous) ili kuwa sehemu ya kujenga uchumi wa Tanzania.

Rais Magufuli ni mtu mzuri kwa kauli zake ziko wazi at extent ya kuwezesha wazawa. Je, wasaidizi wake wana same motive na yeye au ni wakata umeme. Rejea kauli ya Rais Nov 2016 akiongea na waandishi wa habari, je, Msigwa au msaidizi wa Rais kwenye uchumi na uwekezaji, yupo open minded kiasi gani kushadadia hili litokee??

Kwa upande mwingine Rais JPM, iko haja akafahamu kuwa, kuna watu "wanamlinda" sana to the extent wanabinya motive nzuri kama hii hapa chini, aliyozungumza juzi wakati amechukua form ya Urais

Je ni namna gani anajenga mikakati na njia mbadala ya kupata feedback kwa investment projects anazotaka zitokee, mambo yawezekanike??

Policy za TIC kuna namna zimepitwa na wakati na hazina mikakati ya kufanikisha yale ambayo Rais anatamani yatokee, basi yatokee kwa haraka.

Rejea pia

Rais atavunja Bunge la JMT mwezi Juni. Tuko wapi na tunafika lini nchi ya asali na maziwa?

Jumapili njema wakubwa.
Wazee hawa; tayari wamenusa harufu ya panya mkubwa akivunda.
 
Anapendwa kuogopwa basi mwacheni aendelee hivyo hivyo mpaka mwisho.
Uoga ni dhambi na haitakiwi kumwogopa Rais kwani yuko pale kututumikia Watazania. Na kama umeskiza hizo clip mbili, zinaonesha, anapenda kufanya kazi kwa kuwa-empower Watanzania ikiwamo kufanya uwekezaji.

Na iko haja kweli leo nikimtafuta Rais/nikitaka access na ofisi ya Rais sawia na ahadi aliyotoa ya kutaka ku-faciliate mikopo ya uwekezaji, red tapes ziziwepo. Mind you, mwaka jana Bank ya uwekezaji ilikopesha kama 12% kati ya bil 144 zilizotengwa kwa ajili ya kuwekeza.

Kuna wakati mzee Mzindandakaya alimwomba Rais awe accessible hasa kwenye kuwezesha/kusukuma local investments.

On serious notice, uwoga hatatufanya kusogea popote pale.

Kwa ujasiri ambao JPM aliweza kuwa-face Barrick na Bhart Airtel, same confidence tuwe nayo kwenye ku-negotiate kwenye masuala ya msingi ya kuwekeza ikiwamo kupata access ya funding TIB ili tuwekeze kwenye
textile, diaries, sugar production, tannaries, beef processing, cashews processing the list goes on
 
Bandiko lako ni zuri, ila kwa tabia ya rais wetu hakupaswa kuwa rais hasa kwa katiba hii. Ukiona kiongozi anaingilia Muhimili wa bunge na mahakama ujue huyo hashauriki. Ukimsikia akiongea hadharani unaweza kuamini anachoongea ndio anachomaanisha, lakini kiuhalisia ukikaa naye utagundua anatekeleza anachoamini tu. Mtu anayeteleza anachoamini kwa vyovyote hujenga mazingira ya kuogopwa. Na washauri wake 90% kwa sababu ya unafiki, hujikuta wanamshauri anachokitaka na sio anachopaswa kushauriwa. Rais wetu huyu angeweza kuwa rais mzuri kwa katiba kama ya Marekani, ambapo rais hubaki akiteleza mambo sahihi tu ya nchi, na sio kichanganya na mambo sahihi kwake, chama chake na genge la wapambe wake.
Ogopa sana kiongozi anayependa kutumia maneno: "nime...." na siyo "tume... Huyu haamini katika "collective leadership". Hashauriki!!!
 
Uoga ni dhambi na haitakiwi kumwogopa Rais kwani yuko pale kututumikia Watazania. Na kama umeskiza hizo clip mbili, zinaonesha, anapenda kufanya kazi kwa kuwa-empower Watanzania ikiwamo kufanya uwekezaji.

Na iko haja kweli leo nikimtafuta Rais/nikitaka access na ofisi ya Rais sawia na ahadi aliyotoa ya kutaka ku-faciliate mikopo ya uwekezaji, red tapes ziziwepo. Mind you, mwaka jana Bank ya uwekezaji ilikopesha kama 12% kati ya bil 144 zilizotengwa kwa ajili ya kuwekeza.

Kuna wakati mzee Mzindandakaya alimwomba Rais awe accessible hasa kwenye kuwezesha/kusukuma local investments.

On serious notice, uwoga hatatufanya kusogea popote pale.

Kwa ujasiri ambao JPM aliweza kuwa-face Barrick na Bhart Airtel, same confidence tuwe nayo kwenye ku-negotiate kwenye masuala ya msingi ya kuwekeza ikiwamo kupata access ya funding TIB ili tuwekeze kwenye
textile, diaries, sugar production, tannaries, beef processing, cashews processing the list goes on

Mkuu rais ndio anatoa hiyo mikopo? Maana nashindwa kukuelewa unaposema kulikuwa na 144b kisha zikakopeshwa 12% tu kisa watu wanamuogopa rais. Kama ni lazima uwe na access na rais ndio upate hizo hela huoni tayari kuna tatizo hapo?
 
Ogopa sana kiongozi anayependa kutumia maneno: "nime...." na siyo "tume... Huyu haamini katika "collective leadership". Hashauriki!!!
Guys, Magufuli ni team player.
Ilikuwa team ya Prof. Kabudi iliyokaa na Barick na Bhart Airtel kuja na solution ya share zetu Bhart ambazo zilikuwa zimefichwa. Kote tulifanikiwa.
Kama kiongozi, alitoa direction, na ni wengine walifanikisha majadiliano.

JPM alipokea mapendekezo ya bunge kuhusu kupitia mkataba wa Mererani kwenye Tanzanite na Mwadui- Williamson Diamond.

He can't be perfect as a human being, yet he is more resourceful with lots of assets na ujasiri ndiyo tool ya kufanya nae kazi.

Bashe kwa kutokuwa mwoga, alikuwa aki-challenge status quo akiwa bungeni kwa mambo ambayo serikali ilikuwa haifanyi sawa. Eventually akapata dhamani ya kuwa N/W.
 
Mkuu rais ndio anatoa hiyo mikopo? Maana nashindwa kukuelewa unaposema kulikuwa na 144b kisha zikakopeshwa 12% tu kisa watu wanamuogopa rais. Kama ni lazima uwe na access na rais ndio upate hizo hela huoni tayari kuna tatizo hapo?
1596976691546.png

Hii hapo juu ni sehemu ya hotuba ya waziri wa fedha.

Kama kuna system mbaya TIB, waajiri wa Rais ni wapiga kura na kuna haja ya kumtaka afanye awezavyo ili mikopo iwe accessible hasa kwa investment projects.

Wakati anaingia 2015, TRA mtu alikuwa analipa kodi ya makadirio kabla ya kuanza biashara. Baada ya kusikiza kero za wafanya biashara, kwa sasa ukifungua biashara hulazimiki kulipa papo kwa hapo kodi, bali kuna muda wa kuanza biashara na unapewa tax clearance ili ufanye biashara.

Kuna, aina ya uwekezaji kwa uhitaji wa soko la Tanzania, TIB hawakutakiwa kuwa na masharti magumu yasiyo rafiki kwa potential investors wa Tanzania.

Mathalani, kama tuna import sukari za viwanda na sukari ya matumizi ya kawaida zaidi ya tani 40,000.
Maana yake, ilitakiwa ni nikiwa na organised business plan ya kuzalisha sukari kwa miwa au sugar beet kupata walau tani 10,000; kwa kujua ntanzalisha ajira, kuongeza tax base, kutumia umeme wetu, kupunguza imports; outcome hizi ni kubwa kuliko masharti ya mikopo.
Na hapa ndipo lazima kuwa na backdoor channels za kumfikia Rais kwa ahadi alizotoa ambazo ni lazima zifanyike sasa.
Kama toka 2016 hakuna industry toka kwa waandishi wa habari ua yeyote na kuna fedha zimebaki, lazima kuona namna bora ya kubadilisha strategy ili uwekezaji ufanyike
 
Amani ya Mungu alie mbinguni iwe juu ya Watanzania wote.

Juzi mzee Butiku amesikika akisisitiza watu kutuwaogopa viongozi ambao ni wanadamu wenzetu, ambao kimsingi tukiwapigia kura, wanakuwa ni watumishi wetu kwa kukusanya kodi na kusimamia shughuli za maendeleo.

Hata maandikiko matakatifu, Mungu mwenye nguvu zote kasema, "come and let us reason together"
Msingi wa kujenga hoja kwenye masuala ya msingi ni sehemu ya patriotism spirit ambayo hatupaswi hata kwa dakika moja kuipoteza hapa Tanzania.

Kama kuna mtu ambae hatupaswi kabisa kumwogopa ni Rais wa nchi na taasisi ya urais kwa ujumla. Japo tunawajibika kuwaheshimu kwa kuwa ni viongozi na wanaongoza taasisi ya Urais.

Na kama kuna mtu ambae ni visionary kwenye kutaka ku-champion ujenzi wa uchumi endelevu na uchumi jumuishi ni Rais Magufuli. Mara kwa mara amejinasibu kama tu anaetaka ku-drive change ikiwemo kuwajengea uwezo wazawa (indigenous) ili kuwa sehemu ya kujenga uchumi wa Tanzania.

Rais Magufuli ni mtu mzuri kwa kauli zake ziko wazi at extent ya kuwezesha wazawa. Je, wasaidizi wake wana same motive na yeye au ni wakata umeme. Rejea kauli ya Rais Nov 2016 akiongea na waandishi wa habari, je, Msigwa au msaidizi wa Rais kwenye uchumi na uwekezaji, yupo open minded kiasi gani kushadadia hili litokee??

Kwa upande mwingine Rais JPM, iko haja akafahamu kuwa, kuna watu "wanamlinda" sana to the extent wanabinya motive nzuri kama hii hapa chini, aliyozungumza juzi wakati amechukua form ya Urais

Je ni namna gani anajenga mikakati na njia mbadala ya kupata feedback kwa investment projects anazotaka zitokee, mambo yawezekanike??

Policy za TIC kuna namna zimepitwa na wakati na hazina mikakati ya kufanikisha yale ambayo Rais anatamani yatokee, basi yatokee kwa haraka.

Rejea pia

Rais atavunja Bunge la JMT mwezi Juni. Tuko wapi na tunafika lini nchi ya asali na maziwa?

Jumapili njema wakubwa.
kabla ya kujua utayari wa JPM kupokea ushauri kwenye hizo projects kubwa kubwa, ni vyema tukaangalia ame fair vipi kwenye masuala "mepesi" yafuatayo:

1) jaribio la kumuua Tundu Lissu, serekali yake imelishughulikiaje?

2) wateule wake kutoa vitisho dhidi ya vyombo vya habari ameshughulikiaje? mfano hai ni uvamizi wa Makonda pale Clouds Media

3) kupotea kwa wananchi mbalimbali kama Gwanda, Saanane, nk kumeshughulikiwaje?

4) wanaharakati kama Magoti waliowekwa ndani kwa tuhuma za utakatishaji fedha zisizozidi hata 20M huku makada wa CCM wenye tuhuma kubwa zaidi wakiwa huru (kuna yule mbunge wa silaha za kivita kule Shinyanga, kuna tuhuma za matrilioni dhidi ya Kangi, nk). ina maana huu upendeleo serekali haiuoni?

hayo juu kwa uchache ni masuala mepesi kuliko zile flagship projects zake. kama ushauri kwa haya mepesi haukusikilizwa seuze kwenye projects kubwa?
 
Back
Top Bottom