Praetorian
Member
- Apr 19, 2019
- 8
- 16
Unapotosha uma, Pakistan na Uchina wamefanya B.O.T kwenye bandari ya Gwadar kwa muda wa miaka 40 na siyo miaka 33 kama madai yako yanavyosema. Halafu naomba utupe mifano hai ni sehemu gani miradi ya B.O.T inayofadhiliwa na Uchina ikashindwa kufikia malengo na kusababisha matatizo. Ukishindwa kuleta ushahidi basi kama nilivyosema utakuwa ni mpiga porojo tu.Hahaha! Mkuu, yaani B.O.T ni worse than kuwa na loan. Kumbuka kwenye B.O.T una transfer baada ya ku-realize targeted interest, ambayo Wachina huwa wanakuambia Transfer itafanyika baada ya miaka 33 tu.