Stability
Senior Member
- Jan 30, 2020
- 171
- 332
Kuna dogo wa kiume hapa, ni kijana nimemfahamu muda mrefu na ameshanifanyia vitu vingi kwa uaminifu. Ningemuajiri mdada ila sina ninayemfahamu kwa ukaribu.
Nafikiria ni afadhali nimuajiri huyu kijana wa kiume ninayemuamini ili angalau labda nikwepe risk ya wizi kuliko kuajiri mdada ambae simfahamu kiundani.
Nafikiria kumuajiri katika duka la vipodozi, ila naona kama kibiashara itazingua coz wasichana/wakike ndio wateja wengi katika hii business. Sasa kumkuta kijana wa kiume ni kama watakuwa hawaendani kiuteja na labda lugha ya kidada katika urembo.
Mnanishaurijie wakuu, ni hofu yangu tu au ni vizuri niajiri mdada katika duka la vipodozi.
Nafikiria ni afadhali nimuajiri huyu kijana wa kiume ninayemuamini ili angalau labda nikwepe risk ya wizi kuliko kuajiri mdada ambae simfahamu kiundani.
Nafikiria kumuajiri katika duka la vipodozi, ila naona kama kibiashara itazingua coz wasichana/wakike ndio wateja wengi katika hii business. Sasa kumkuta kijana wa kiume ni kama watakuwa hawaendani kiuteja na labda lugha ya kidada katika urembo.
Mnanishaurijie wakuu, ni hofu yangu tu au ni vizuri niajiri mdada katika duka la vipodozi.