kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,029
- 2,129
Wakuu swala la mapenzi kwa kizazi cha sasa imekua giza nene mno. Juzi nilienda mitaa flani ya mwenge kumtembelea ndugu yangu kwake.
Lakini mtu hakunyimi maneno anakunyima pesa akanidokeza ndugu yangu humu ndani kuna jamaa anakaa na mkewe lakini shughuli zote anafanya mwanaume.
Kufua chupi za msichana wake, brazia, taiti na vitu vingi na bila aibu jamaa anavianika nje kabisa, na akianza kufua anafulia nje.
Cha ajabu binti mwenyewe ni mdogo kabisa, jamaa mwenyewe ni kijana tena wote wanafanya kazi kampuni moja ya mawasiliao kama customer care.
Cha kushangaza asubuhi kuamka jamaa anakua wa kwanza yeye ataoga yeye na kumtengea maji mwanamke wake mi nilishikwa na butwaa iweje kijana mdogo hv aendeshwe na msichana mwenye rika kama lake?
AMA NDIO MAPENZI YA KISASA? WATAALAM FUNGUKENI.
Hivi ni;
1.Ushamba wa mapenzi?
2.Jamaa kupigwa match hajui vizuri?
3.Kawekewa limbwata?
4.Jamaa anakibamia?
Lakini mtu hakunyimi maneno anakunyima pesa akanidokeza ndugu yangu humu ndani kuna jamaa anakaa na mkewe lakini shughuli zote anafanya mwanaume.
Kufua chupi za msichana wake, brazia, taiti na vitu vingi na bila aibu jamaa anavianika nje kabisa, na akianza kufua anafulia nje.
Cha ajabu binti mwenyewe ni mdogo kabisa, jamaa mwenyewe ni kijana tena wote wanafanya kazi kampuni moja ya mawasiliao kama customer care.
Cha kushangaza asubuhi kuamka jamaa anakua wa kwanza yeye ataoga yeye na kumtengea maji mwanamke wake mi nilishikwa na butwaa iweje kijana mdogo hv aendeshwe na msichana mwenye rika kama lake?
AMA NDIO MAPENZI YA KISASA? WATAALAM FUNGUKENI.
Hivi ni;
1.Ushamba wa mapenzi?
2.Jamaa kupigwa match hajui vizuri?
3.Kawekewa limbwata?
4.Jamaa anakibamia?