HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,486
- 6,248
Noma sana dah mshkaji kapoteza sifa zote za kuitwa mwanaume. Ila wanawake mtuone huruma. Angepiga japo kamati ya 500 ila mshkaji kapigwa kamati ya 100000. Yan huyo mwanamke angekua na wenzo wa kumwamishia huyo mshkaji mimba angefanya hivyo ili tu kukwepa majukumu.Kamati nouma mzee baba kuna haja ya kujiongeza