Hbari za uhakika kutoka maswa zinasema kuwa mpaka sasa Tume wameshindwa kutangaza matokeo kwani maswa magharibi na Mashariki yaani kwa SHIBUDA NA KASULUMBAYI - CCM wamepigwa sana, nahisi wanachakachua ili wayatangaze. BIG UP CHADEMA. Stay tuned.
nasikiliza Radio Wapo sasa; Shyinganga Mjini Mabomu yamelipulia rasmi na matokeo yamesheleweshwa japo ahadi ilitolewa saa 5 asubuhi yangetangazwa, jimbo lina vituo zaidi ya 200; CHADEMA inaonekana imeshinda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.