abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habar watanzania poleni kwa majukumu
Mpaka Sasa kichwa changu naona kipo tu kama mzigo sababu ubongo ulishindwa kuelewa chochote maana Sabaya nilimuona mzalendo Sana Mpaka nilimkingia kifua Mbele za watu kumbe nilikua namtetea Mwizi na mnyang’anyi
Pia, Sabaya katika watu 5 nilio waona wazalendo kweli kweli kumbe ndio walio kuwa hatari kwa ustawi wa nchi hii
Sabaya hajaweza kunidanganya mimi peke yangu am sure ni wengi tuliodanganyika na lawama zetu zote tunazipeleka kwa Wabunge tuliowachagua kushiriki hii Dhambi
Yani kila nikikaa mwenyewe nafikiria how niliruhusu kuwa mjinga kiasi kile pia Sabaya kanifungua kuwa huenda hata wale wazalendo wengine wa 4 nao walitudanganya
Nakiri kuwa sijawahi kuona watu waongo dunian zaid ya Hawa watu wa 5 pia wote mlio kuwa mnasema mkuu hakua mwanasiasa eo naomba niwapinge sababu hamna mwanasiasa kama yeye Tanzania sababu yeye pekee ndio kafanikiwa kudanganya watu kwa kiasi kikubwa
Hongera jeshi la Polisi pia ningependa kuwashaur usalama wa taifa kua next time kuwen Makin sababu ikija kutokea kiongoz mwenye propaganda kali Zaid ya izi zilizo pita am sure nch tutaipoteza sababu propaganda hizi tu zilizo pita zilinifanya niwe tayar kuingia hata Barabaran na sio mimi tu vijana wengi walikua tayar
Mpaka Sasa kichwa changu naona kipo tu kama mzigo sababu ubongo ulishindwa kuelewa chochote maana Sabaya nilimuona mzalendo Sana Mpaka nilimkingia kifua Mbele za watu kumbe nilikua namtetea Mwizi na mnyang’anyi
Pia, Sabaya katika watu 5 nilio waona wazalendo kweli kweli kumbe ndio walio kuwa hatari kwa ustawi wa nchi hii
Sabaya hajaweza kunidanganya mimi peke yangu am sure ni wengi tuliodanganyika na lawama zetu zote tunazipeleka kwa Wabunge tuliowachagua kushiriki hii Dhambi
Yani kila nikikaa mwenyewe nafikiria how niliruhusu kuwa mjinga kiasi kile pia Sabaya kanifungua kuwa huenda hata wale wazalendo wengine wa 4 nao walitudanganya
Nakiri kuwa sijawahi kuona watu waongo dunian zaid ya Hawa watu wa 5 pia wote mlio kuwa mnasema mkuu hakua mwanasiasa eo naomba niwapinge sababu hamna mwanasiasa kama yeye Tanzania sababu yeye pekee ndio kafanikiwa kudanganya watu kwa kiasi kikubwa
Hongera jeshi la Polisi pia ningependa kuwashaur usalama wa taifa kua next time kuwen Makin sababu ikija kutokea kiongoz mwenye propaganda kali Zaid ya izi zilizo pita am sure nch tutaipoteza sababu propaganda hizi tu zilizo pita zilinifanya niwe tayar kuingia hata Barabaran na sio mimi tu vijana wengi walikua tayar