Nakiri nilikosea....leo naongea kila kitu ili nipone hii tabia yangu mbaya

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa, nimehitimu elimu yangu ya juu kwenye moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa mjini.
Nimelelewa kwenye familia ya wafanyakazi waajiriwa wa serikalini ambao ni maaskari polisi, hivyo basi maisha yangu yote nimeishi kwenye nyumba za laini za jeshi la polisi.
Kutokana na kuishi watu wengi kwenye eneo dogo, niliiga tabia za watoto wenzangu, tulikuwa tunaamka usiku na kuanza kupipita kwenye nyumba za majirani huku tukiangalia ni nyumba gani ambayo baba na mama mwenye nyumba wamelala usingizi wa wakubwa.
Nilikuwa mahiri sana wa kupiga deo hadi nikapewa jina la koziman.
Nimeendelea na tabia hiyo sugu kwa kipindi chote hicho tanghu nikiwa darasa la tatu hadi jana nilipofumaniwa kwa kuanguaka kutoka darini kwa mpangaji mwenzangu ambako nilipanda juu ya dari ili niwafaidi vizuri wakikamuana.
Baada ya kushtushwa na kishindo nikawa nimeumbuka kiasi kwamba leo naogopa kurudi jioni.
Naiomba mnisaidie ili niweze kuiacha kabisa tabia hii ambayo inanivunjia heshima kwenye jamii...
Nimejaribu nimeshindwa, ukifika tu usiku usingizi huwa unaniruka hadi nione watu wakilana mambo.
Nisaidieni mwana jamvi mwenzenu ili nipate kupona.
Nimeongea ukweli mtupu kutoka moyoni mwangu kwani mficha maradhi kifo kitamuumbua.
Naogopa nsije nkauawa kwa kupiga deo

Pole Mkuu Bujubuji tafuta hobie mkuu kama kuangalia Movie nk.

Tahadhari: Angalia wasije wakakutoboa macho ukafikiri wamezima Taa
 
pole sana ila wewe unataka uonane na daktari, kweli humu watu wana masihara sana kama vile wengi hawakupitia hayo, bado wengine mpaka leo wanapiga chabo za kishkaji vile kama hawamo, usione tabu muone daktari na utaweza kuondokana na marazi hayo,

suala la kizushi! nani aliyekosa kuiba maishani mwake kama yupo basi ni malaika lakini sisi sote tumeshaiba na bado tunaiba kila leo, kazini tunaiba wakati, nyumbani ukiwa dogo ndio mwisho,
 
Uko wapi Bujibuji katika jiji la DSM?

Pole personally wakati naendesha ushauri wa kiroho nimekutana na cases nyingi sana za ajabu, zingine hii yako cha mtoto.Trust me when we told them to receive Jesus as a personal saviour, wamebadilika na kuacha tabia za zamani.Kikubwa ni kudhamiria, kama una dhamira ya kuacha Yesu ndiye jawabu, yeye anaumba upya you just give him chance.

Psychologist well, people thinks that they can do anything, watu wenye matatizo makubwa ya kisaikolojia ni hao hao wanasaikolojia, they will give you humanly way, ambapo ukienda sehemu nyingine na kukutana na nafasi ya wazi you will easily turn back to your old ways.

Jesus is the answer,you will prove me right

Ukiniambia uko eneo gani nitakuelekeza kwa mchungaji gani uende, you can also PM me with your phone number na mchungaji anaweza kuja mpaka kwako ulipo.

Trust me, in Jesus name project it is over
 
Uko wapi Bujibuji katika jiji la DSM?

Pole personally wakati naendesha ushauri wa kiroho nimekutana na cases nyingi sana za ajabu, zingine hii yako cha mtoto.Trust me when we told them to receive Jesus as a personal saviour, wamebadilika na kuacha tabia za zamani.Kikubwa ni kudhamiria, kama una dhamira ya kuacha Yesu ndiye jawabu, yeye anaumba upya you just give him chance.

Psychologist well, people thinks that they can do anything, watu wenye matatizo makubwa ya kisaikolojia ni hao hao wanasaikolojia, they will give you humanly way, ambapo ukienda sehemu nyingine na kukutana na nafasi ya wazi you will easily turn back to your old ways.

Jesus is the answer,you will prove me right

Ukiniambia uko eneo gani nitakuelekeza kwa mchungaji gani uende, you can also PM me with your phone number na mchungaji anaweza kuja mpaka kwako ulipo.

Trust me, in Jesus name project it is over

Amen brother..
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa, nimehitimu elimu yangu ya juu kwenye moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa mjini.
Nimelelewa kwenye familia ya wafanyakazi waajiriwa wa serikalini ambao ni maaskari polisi, hivyo basi maisha yangu yote nimeishi kwenye nyumba za laini za jeshi la polisi.
Kutokana na kuishi watu wengi kwenye eneo dogo, niliiga tabia za watoto wenzangu, tulikuwa tunaamka usiku na kuanza kupipita kwenye nyumba za majirani huku tukiangalia ni nyumba gani ambayo baba na mama mwenye nyumba wamelala usingizi wa wakubwa.
Nilikuwa mahiri sana wa kupiga deo hadi nikapewa jina la koziman.
Nimeendelea na tabia hiyo sugu kwa kipindi chote hicho tanghu nikiwa darasa la tatu hadi jana nilipofumaniwa kwa kuanguaka kutoka darini kwa mpangaji mwenzangu ambako nilipanda juu ya dari ili niwafaidi vizuri wakikamuana.
Baada ya kushtushwa na kishindo nikawa nimeumbuka kiasi kwamba leo naogopa kurudi jioni.
Naiomba mnisaidie ili niweze kuiacha kabisa tabia hii ambayo inanivunjia heshima kwenye jamii...
Nimejaribu nimeshindwa, ukifika tu usiku usingizi huwa unaniruka hadi nione watu wakilana mambo.
Nisaidieni mwana jamvi mwenzenu ili nipate kupona.
Nimeongea ukweli mtupu kutoka moyoni mwangu kwani mficha maradhi kifo kitamuumbua.
Naogopa nsije nkauawa kwa kupiga deo

Hujachelewa bado.Kuna watu walikuwa na siri nzito sana na ibu kubwa kushinda wewe.Lakini sasa they are very happy people.Wamepona kabisa.Ni Mungu pekee anaweza kuingilia kati suala lako.
Nakusihi sana fuata ushauri wa WABEROYA na umtafute akusaidie.
 
hicho ni kichaa kamuone dr kabla mambo hayajawa mambo!
...Huyu jamaa kama hapo anapoishi kuna watoto wadogo wa kike nawashauri wazazi wao wawe makini sana anaweza kufanya tukio la ajabu kabisa maana akiona katoto ka kike hakajavaa chupi sijui kama atakaacha...
 
mchungaji anaweza kuja mpaka kwako ulipo.

hii ni kwa faida ya nani?aaaghrr maneno mazuri mwanzo mwisho unamalizia na usanii. Kwa mtindo huu bora uendelee kupigadeo mr koziman kuliko kuwakaribisha hao wasanii nyumbani kwako gharama zake ni kubwa zaidi ya hiyo aibu.nina mifano na majina ya hao watumishi wa 'mungu' wanyonyaji.
 
hii ni kwa faida ya nani?aaaghrr maneno mazuri mwanzo mwisho unamalizia na usanii. Kwa mtindo huu bora uendelee kupigadeo mr koziman kuliko kuwakaribisha hao wasanii nyumbani kwako gharama zake ni kubwa zaidi ya hiyo aibu.nina mifano na majina ya hao watumishi wa 'mungu' wanyonyaji.

Aaa Burn unaharibu...si kila mtu wa Mungu ni msanii. Hao ulionao ni hao..lakini usigeneralize, hiyo i fallacy. Wahenga walisema do not make a rule out of a special case!
Kakae, we tafuta mchungaji akusaidie kukua kiroho! ushauri wa burn, kama kawaida yake, sawa na nguvu za giza!
 
Aaa Burn unaharibu...si kila mtu wa Mungu ni msanii. Hao ulionao ni hao..lakini usigeneralize, hiyo i fallacy. Wahenga walisema do not make a rule out of a special case!
Kakae, we tafuta mchungaji akusaidie kukua kiroho! ushauri wa burn, kama kawaida yake, sawa na nguvu za giza!

Malenga wetu, kwa akili za kawaida mimi nakaa yombo kigilagila na mtumishi wa mungu anakaa mbezi kwa msuguri, leo nimpe tu namba anifuate kunipa neno la mungu hapo kuna namna tu. Tusitaniane kabisa labda waniambie wao wanafaidika nini kwanza la sivyo Mr Koziman usiache tena nitaku PM njia nzuri zaidi ya kupanda madalini kwa watu.
 
Huyu ametaka msaada jamani mweee! nafikiri uende kwa psycologist wakupe ushauri ni kitu kidogo tu unatakiwa ukifanye na usahau yote.
 
hii ni kwa faida ya nani?aaaghrr maneno mazuri mwanzo mwisho unamalizia na usanii. Kwa mtindo huu bora uendelee kupigadeo mr koziman kuliko kuwakaribisha hao wasanii nyumbani kwako gharama zake ni kubwa zaidi ya hiyo aibu.nina mifano na majina ya hao watumishi wa 'mungu' wanyonyaji.

Nami nilitaka kumpa angalizo hilo! Hata kupiga chabo nalo ni pepo? Hahaha! Imani bana! Stuka!
 
Malenga wetu, kwa akili za kawaida mimi nakaa yombo kigilagila na mtumishi wa mungu anakaa mbezi kwa msuguri, leo nimpe tu namba anifuate kunipa neno la mungu hapo kuna namna tu. Tusitaniane kabisa labda waniambie wao wanafaidika nini kwanza la sivyo Mr Koziman usiache tena nitaku PM njia nzuri zaidi ya kupanda madalini kwa watu.

Mpwa leo umeamua kuachia pointi za akili sana. Umekula SENKSI hapo!
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa, nimehitimu elimu yangu ya juu kwenye moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa mjini.
Nimelelewa kwenye familia ya wafanyakazi waajiriwa wa serikalini ambao ni maaskari polisi, hivyo basi maisha yangu yote nimeishi kwenye nyumba za laini za jeshi la polisi.
Kutokana na kuishi watu wengi kwenye eneo dogo, niliiga tabia za watoto wenzangu, tulikuwa tunaamka usiku na kuanza kupipita kwenye nyumba za majirani huku tukiangalia ni nyumba gani ambayo baba na mama mwenye nyumba wamelala usingizi wa wakubwa.
Nilikuwa mahiri sana wa kupiga deo hadi nikapewa jina la koziman.
Nimeendelea na tabia hiyo sugu kwa kipindi chote hicho tanghu nikiwa darasa la tatu hadi jana nilipofumaniwa kwa kuanguaka kutoka darini kwa mpangaji mwenzangu ambako nilipanda juu ya dari ili niwafaidi vizuri wakikamuana.
Baada ya kushtushwa na kishindo nikawa nimeumbuka kiasi kwamba leo naogopa kurudi jioni.
Naiomba mnisaidie ili niweze kuiacha kabisa tabia hii ambayo inanivunjia heshima kwenye jamii...
Nimejaribu nimeshindwa, ukifika tu usiku usingizi huwa unaniruka hadi nione watu wakilana mambo.
Nisaidieni mwana jamvi mwenzenu ili nipate kupona.
Nimeongea ukweli mtupu kutoka moyoni mwangu kwani mficha maradhi kifo kitamuumbua.
Naogopa nsije nkauawa kwa kupiga deo

Solution: GET A LIFE MAN!!!!
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sasa, nimehitimu elimu yangu ya juu kwenye moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa mjini.
Nimelelewa kwenye familia ya wafanyakazi waajiriwa wa serikalini ambao ni maaskari polisi, hivyo basi maisha yangu yote nimeishi kwenye nyumba za laini za jeshi la polisi.
Kutokana na kuishi watu wengi kwenye eneo dogo, niliiga tabia za watoto wenzangu, tulikuwa tunaamka usiku na kuanza kupipita kwenye nyumba za majirani huku tukiangalia ni nyumba gani ambayo baba na mama mwenye nyumba wamelala usingizi wa wakubwa.
Nilikuwa mahiri sana wa kupiga deo hadi nikapewa jina la koziman.
Nimeendelea na tabia hiyo sugu kwa kipindi chote hicho tanghu nikiwa darasa la tatu hadi jana nilipofumaniwa kwa kuanguaka kutoka darini kwa mpangaji mwenzangu ambako nilipanda juu ya dari ili niwafaidi vizuri wakikamuana.
Baada ya kushtushwa na kishindo nikawa nimeumbuka kiasi kwamba leo naogopa kurudi jioni.
Naiomba mnisaidie ili niweze kuiacha kabisa tabia hii ambayo inanivunjia heshima kwenye jamii...
Nimejaribu nimeshindwa, ukifika tu usiku usingizi huwa unaniruka hadi nione watu wakilana mambo.
Nisaidieni mwana jamvi mwenzenu ili nipate kupona.
Nimeongea ukweli mtupu kutoka moyoni mwangu kwani mficha maradhi kifo kitamuumbua.
Naogopa nsije nkauawa kwa kupiga deo

Bujibuji wewe ni mgonjwa kama walivyo wagonjwa wengine unaowaona hospitali. Tatizo ni kuwa hujijui kwamba unaumwa. Kwa hiyo kimbia haraka ukamwone daktari. Utapona tu. Kwa umri na elimu yako hutegemewi kufanya mambo ya ajabu ajabu kama hayo. Ulitakiwa kuwa busy unatatua matatizo yako binafsi na jamii iliyokuzunguka. Kama unamwamini Mungu basi unaweza kutumia counselling ya watu wa Mungu. Kama siyo muumini wa dini yoyote, nenda hospitali. Kuna wataalamu watakuganga hadi ushahau huo ujinga.
 
its embedded in your mind...u have to take it off and fill thet void with something else...una mke wewe???? darini wapanda saa ngapi??
 
Du pole sana mkuu, kama umepona safari hii ukipiga chabo tena utauawa nakushauri uache kabisa huo mchezo!
 
malenga wetu, kwa akili za kawaida mimi nakaa yombo kigilagila na mtumishi wa mungu anakaa mbezi kwa msuguri, leo nimpe tu namba anifuate kunipa neno la mungu hapo kuna namna tu. Tusitaniane kabisa labda waniambie wao wanafaidika nini kwanza la sivyo mr koziman usiache tena nitaku pm njia nzuri zaidi ya kupanda madalini kwa watu.


dah..
Mpwa mwenzio siko tayari tena..
Jana sijarudi kabisa home,
leo pia sirudi, nimenunua shati hapo nbc club ya zamani siku hizi wanapaita george's...
Ntalala mitaa ya kwa limboa kwa jamaa yangu.
 
Back
Top Bottom