bring back our sky!Nipo bhana. Ulintafuta ukanikosa? Ukinikosa hapa nicheki WhatsApp
Mkuu basi unapishana na nyapu nyingi.. Maana watoa nyapu ndio lugha zao hizoNeno poa lina versions 3 yani pow, pw na p. Mi mtu akishaniambiaga hivyo nafutaga namba yake. Na saivi wameleta mtindo wa kusema tyu badala ya tu.
Neno tyu!Linanikera kama vile mende kaingia kwenye bia yanguSafi sana mkuu, naungana nawewe....sipendi matumizi ya hayo maneno....ni upuuz kukuta jidume et linasema "jomoni" ndo upuuz gan.....wengi wao unakuta hawana marinda.
Cc Beira Baby Boy
Ya.....Weka picha mkuu.
Ya.....
KIOO am missing you!Ahahahaha. Lol.