Fantastic Beast
Member
- Feb 18, 2019
- 50
- 532
Naombeni kuwakumbusha viongozi wetu pamoja na wasaidizi wa viongozi, MSIICHUKULIE POA CORONA, CHUKUENI HATUA MADHUBUTI KIPINDI HIKI CHA MKUSANYIKO WA MSIBA WA KUMUAGA HAYATI JPM.
Nanyi wasaidizi wa Rais mteule wa sasa Mh. Samia Suluhu, hakikisheni mnamlinda kwa gharama zozote na maambukizi ya corona. Nyie wasaidizi mna mchango mkubwa sana kwenye kifo cha Hayati JPM kwani hasahasa wewe Waziri wa Afya na Naibu wako kwani mliamua kuvilinda vibarua vyenu zaidi badala ya kusimamia ukweli wa mambo ulivyo kulingana na viapo vyenu.
Narudia tena MKINGENI MAMA SAMIA na exposure yoyote ya huu ugonjwa. Nimesikitika sana kuona leo kwenye hafla ya kuapishwa kwake akiwa hajavaa barakoa, wameenda kwenye baraza la mawaziri pia hamna aliyevaa barakoa. Inasikitisha sana kuona viongozi wetu wakubwa wakiwa wanashindana na sayansi.
Ni hayo tu.
Nanyi wasaidizi wa Rais mteule wa sasa Mh. Samia Suluhu, hakikisheni mnamlinda kwa gharama zozote na maambukizi ya corona. Nyie wasaidizi mna mchango mkubwa sana kwenye kifo cha Hayati JPM kwani hasahasa wewe Waziri wa Afya na Naibu wako kwani mliamua kuvilinda vibarua vyenu zaidi badala ya kusimamia ukweli wa mambo ulivyo kulingana na viapo vyenu.
Narudia tena MKINGENI MAMA SAMIA na exposure yoyote ya huu ugonjwa. Nimesikitika sana kuona leo kwenye hafla ya kuapishwa kwake akiwa hajavaa barakoa, wameenda kwenye baraza la mawaziri pia hamna aliyevaa barakoa. Inasikitisha sana kuona viongozi wetu wakubwa wakiwa wanashindana na sayansi.
Ni hayo tu.