Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,489
- 86,005
Kuna kipindi tulikanusha #Tanzania haina #COVID19. Ikawa dhambi kukiri kuwa ipo. Sasa kuna maneno kuhusu chanjo. Ukimya wa madaktari bingwa na wataalam wetu ktk hili inashagaza. Sitaki kuamini utaalamu wao unaishia ktk kujifukiza, tangawizi nk. Toeni ushauri plse. #KSK_BaloziTanzania hakuna corona kwenda zako huko