mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
Jamani nimeshtuka na kutahayari baada ya kusikia kuwa Nakaya katoka Chadema na Kurudi CCM,hapo numa aliapa kuwa kamwe haitaipigia debe CCM sasa hii U turn imekuwaje,ama kweli hizi fedha za mafisadi zinawaumbua watu kumbe kelele zote za akina Nakaya & CO ni njaa tu na sio usongo wa nmaisha bora kwa wa TZ